Wale waliosoma nje ya nchi shahada ya kwanza, mtoto anaweza kuharibikiwa?

Wale waliosoma nje ya nchi shahada ya kwanza, mtoto anaweza kuharibikiwa?

Hakikisha anakutumia matokeo yake hata ya test tu. Maana wengi wakifika huko shule wanaacha. Unashangaa miaka inafika hata degree hana na pesa ulikuwa anamtumia. Ila wewe ndo unamjua zaidi binti yako. Kwanza anapenda shule haswa haswa ?Ana malengo ?

Anapenda shule sana, ana malengo na ana uwezo ila pia anapenda mziki na high life kwa ujumla
 
Anapenda shule sana, ana malengo na ana uwezo ila pia anapenda mziki na high life kwa ujumla
Kama una uwezo wa mpeleke. Kwanza Canada baridi. Hiyo high life atafanya wakati wa summer vyuo vikiwa vimefungwa.
 
Maendeleo yake ya chuo.
Nakumbuka mzazi mmoja kutoka Kwimba aliongea na Mkuu wa chuo kuwa nimeweka na pesa ya hostel wakati binti yake anaishi mitaani. Kwani watoto wa day hawapati mimba na bado wanaishi na wazazi wao nyumba moja?
 
Nina ki-experience kidogo kutoka Bara la Asia nilifanyaga Msc huko. Kwakweli watoto wa first degree wengi wanakuwa hawajakomaa kimtazamo wa maisha, kule niliposoma wengi walimaliza kwa mwamvuli wa kuwa ni International students tu (Ilikuwa ni nadra sana kusikia int students ka-disco). Lakini kusema kwamba unategemea aende kuwiva kiupeo kwenye fani husika mmh itategemea mwanao ni smart kiasi gani kukwepa social influences.

Kwa ushauri wangu mpeleke nje Masters na kuendelea.
 
Nina ki-experience kidogo kutoka Bara la Asia nilifanyaga Msc huko. Kwakweli watoto wa first degree wengi wanakuwa hawajakomaa kimtazamo wa maisha, kule niliposoma wengi walimaliza kwa mwamvuli wa kuwa ni International students tu (Ilikuwa ni nadra sana kusikia int students ka-disco). Lakini kusema kwamba unategemea aende kuwiva kiupeo kwenye fani husika mmh itategemea mwanao ni smart kiasi gani kukwepa social influences.

Kwa ushauri wangu mpeleke nje Masters na kuendelea.

Asante sana ndugu kwa ushauri
 
Back
Top Bottom