Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saa nne asubuhi? Hiyo safari mkaanza saa ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saa nne asubuhi? Hiyo safari mkaanza saa ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huo ndo U Getleman sasa, haijawah nitokea ila kdg tu itokee pale msavu, demu wakat anasagula mzee manguo yanatoa vumbi na alikua amevaa lichupi kubwa halaf jeusi tiii, yaan kaniki si kaniki pazia si pazia, nilipga chafya kama 11 hv bila kupumzika, Nilichomoka usiku huohuo nikaenda kulala na wapga debe, Yule nahc alikua mganga wa kienyej angenigeuza kuku yule mdada asee
Mkuu , ingekua tukitoa nyuzi ,unasoma na whole background yetu mkuu wala usingetoa hii commentShetani keshajua bettery low akushawishi wa nini?
Mimi hii ilinitokea shinyanga, 2011 nafikiri.Habar zenu wakuu , natumai mko poa
Daah aisee ni hivi kweli mda mwengine shetani anazidiwa
Juzi wakat nipo safarin hivi mkoa flani tulifika late night stand so kwa sisi ambao hatuna wenyeji ilitubidi tu tuchkue gest ili asubuh tuendelee na safar zengine
Basi wakat tunaolizia wenyeji gest kuna mdada mmoja ambaye tangia safari inaanza hadi tumefika hatukubahatika hata kupeana salamu
Wakat tunaulizia gest iliyopo karibu bas mdada na yye akasogea tukawa wote
Jamaa katuelekeza hotel badala ya gest so kwa vile ni late night na tulikua na mizigo hatukua na jinsi ilibidi tu lazima tuchukue room hapo hpo hotel
Wakat nataka kulipia room mdada wa watu akanishauri tu share tu room ili kupunguza bajet maana cost ya hio room ya hotel hatukua tumeitarajia
Basi mwanaume sikufanya hiana nikamkubalia tuka share room
Aiseee siamini jinsi huu ubarid wa kipind hiki kma nimetoka asubh bila hata ya kumlazimisha sister anigaiye papuch angalau tu tupunguziane baridi
Nimekaa na demu hadi saa nne asubuh room bila hata kumshika mkono
Kweli sometimes shetani anakua hana nguvu
Hivi ingekua ni wewe je ungemuacha bila hata ya kuomba liwazo wakat upo full equiped ????
Nimecheka kwa sauti halafu ni ofisini na niko alonehuo ndo U Getleman sasa, haijawah nitokea ila kdg tu itokee pale msavu, demu wakat anasagula mzee manguo yanatoa vumbi na alikua amevaa lichupi kubwa halaf jeusi tiii, yaan kaniki si kaniki pazia si pazia, nilipga chafya kama 11 hv bila kupumzika, Nilichomoka usiku huohuo nikaenda kulala na wapga debe, Yule nahc alikua mganga wa kienyej angenigeuza kuku yule mdada asee