Wale waliozaliwa 1995 pita hapa kuna ushauri

Wale waliozaliwa 1995 pita hapa kuna ushauri

Ukiacha fasheni na ulimbukeni toa hasa faida ya kuwa na mtoto wakati huna hata mia mbovu zaidi ya kutujazia MALAYA,OMBAOMBA, VIBAKA,MACHINGA,MACHAWA,MAWINGA na MAJAMBAZI mitaani.
Wewe jamaa una mambo za ajabu maana kama ni mwanaume kamili ushaweka mke ndani unashindwa vipi kumhudumia.....kikubwa oa mwanamke wa hadhi yako.
 
Atakula mihogo daily na dagaa wanaolazimishwa kuitwa dagaa nyama. Atavaa mtumba. Atasoma St Kayumba. Dah kuna watu mmeukubali UMASKINI NA MAMBO YAKE YOTE... Yaani mnaupenda umaskini balaa. Kupata mtoto ukiwa maskini ni laana ya kuendeleza poverty cycle
Sio kuupenda Umasikini, wewe ndio Mvivu wa kutafuta ikiwa utashindwa hata hela ya chakula kizuri kwa mwanao

Kama utashindwa kumnunulia hata chakula means hata mengine hutaweza kumuhudumia
 
mtoa mada ni aina ya watu akishapata kitu kizuri yeye basi anaona ni rahisi kila mtu kupata alichopata yeye..tujifunze kumshukuru mungu kwa neema alizokupa unaweza kubarikiwa kazi nzuri,ndoa ya mapema,mali na watoto basi mshukuru mungu kwa neema hizo na sio kuwaona wengine wasionavyo ni wazembe,hawajui maisha,hawajitumi au hawana maana..kwani hizo neema ulizobarikiwa haujui mwisho wake unaweza kujiona umewin kuwa na mali nyingi na watoto kumbe ndio nchanzo cha maangamio yako au hizo baraka za watoto na mali zikawa sio kwa ajili yako zikaja kuwanufaisha wengine kabisa na sio ww unayejidai..tuwe na shukrani katika maisha na tushukuru neema tunazopewa na muumba sio ww umetangulia kupata ndio uwaone wengine wazembe na wajinga wasio na maarifa hizo kelele ni kwavile ww ushapata hicho kitu hivyo unakitumia kuwananga wasionacho kwa kuwaona wanachelewa maisha vp kama usingepata hicho unachojivunia je,ungeongea pia mungu anaweza kuchukua hicho alichokubariki
 
Wewe jamaa una mambo za ajabu maana kama ni mwanaume kamili ushaweka mke ndani unashindwa vipi kumhudumia.....kikubwa oa mwanamke wa hadhi yako.
JIBU SWALI LANGU LA MSINGI HAPO,,,,,,,,,,, NI SABABU GANI HASA INAKULAZIMU WEWE ULETE KIUMBE HAI HAPA DUNIANI ILHALI WEWE MWENYEWE HUJITOSHELEZI????

Hata tukirudi kwenye asili kiumbe hai mfano wa wanyama system ya "SURVIVAL OF THE FITTEST" ndio inaplay. Huwezi ukawa huna uwezo wa kuprovide na ukapata jike ni binadamu tena yule mwenye asili ya AFRICA ndo anaweza akapingana tu na hii law of nature. Wanawake wangesimamia misimamo yao kama majike mengine ya wanyama kuna wanaume wangepiga punyeto maisha yao yote😄😄😄😄😄.

Hii huruma ya wanawake na kuendekeza nyeg* ndo leo hii imejaza watu wengi ambao sio wazalishaji mali. Wametuletea MALAYA,VIBAKA,MACHAWA,MAWINGA,OMBAOMBA na MAJAMBAZI.
 
Ameeleza jambo la msingi sana.

Kwa nchi yetu hii ukipata mtoto hata kama huna hata 100, still atakula, atavaa na atasoma vizuri...tuna ujamaa bado amini ninachokuambia...labda kama hujaishi nchi zingine za kibepari au ht hapo Kenya

Uraweza kuchelewa kupata mtoto ukaja kumpata ukiwa na 35 hlf maisha yakawa yaleyale bila mabadiliko makubwa ukabaki na same wishes...na wengi wanaochelewa kupata watoto wanapitia katika hili kosa
SASA WEWE AKILI HUNA KABISA HIVI UNAZAA UKIWAZA MTOTO WAKO AKAISHI KWA FULANI YANI STAREHE ZAKO UNATAKA UMBEBESHE NANI HUO MZIGO WA MALEZI.

HALAFU NYIE WAPUUZI MIJITU MYEUSI HII MIHOGO, MAHINDI NA WALI HIVI SIO VYAKULA VYA KULA BINADAMU,HIVI NI VYAKULA VYA MIFUGO. TUNA KIZAZI CHENYE UTINDIO WA UBONGO AMBACHO SIO KIBUNIFU NA HAKINA AKILI, NA KILICHODUMAA KIAKILI NA KIMWILI KWASABABU LISHE YA WATOTO MPAKA WANAKUWA WATU WAZIMA NI DUNI SANA.

BADILIKENI ANGALIENI WALIOENDELEA WANAZAA KWA MPANGO NA HESABU KALI SANA ACHENI UJINGA.
 
Atakula mihogo daily na dagaa wanaolazimishwa kuitwa dagaa nyama. Atavaa mtumba. Atasoma St Kayumba. Dah kuna watu mmeukubali UMASKINI NA MAMBO YAKE YOTE... Yaani mnaupenda umaskini balaa. Kupata mtoto ukiwa maskini ni laana ya kuendeleza poverty cycle
Kuna kazi kubwa ya kutoa matope kwenye vichwa vya viumbe wanaoitwa waafrika. Ni hatari sana mtu anakuwa hana VISION,MISSION wala OBJECTIVES zozote hapa duniani huyu atakuwa mharibifu tu maana yeye kwake kila kitu sawa tu.

Watu wengi wanapata watoto ila hawana uwezo wa kuwahudumia kimalezi na kifedha hivyo wanabaki kuwa waharibifu tu hapa duniani. Watoto waliosoma mfano st. Kayumba wengi wanaishia kuwa MAWINGA,MACHAWA,VIBAKA,WAVUTA BANGI,BODABODA, OMBAOMBA,MATEJA NA MALAYA. Yote hii ni kutokana mtu anazaa hovyo bila ya kuwa na sababu mahususi kwanini anazaa.

#KAMA HUNA UWEZO FUNGA ZIPU/ BANA MAPAJA KUPUNGUZA CIRCLE YA UMASIKINI,,,,, PERIOD!!!!
 
1-Fahamu kwamba ndo unaingia miaka 30. (ni mingi mno)

2-Hakikisha una mtoto
(kuoa sio muhimu ila hakisha una mtoto)

3- Kama umesoma huna ajira anza kusaka ajira rasmi

4-Bana matumizi, punguza matumizi ya social media ,pombe sigara

5-Stop kukumbizana na wanawake .

6-Jifunze kuvaa vizuri ,sio kila siku wewe ni vikaptula/vibukta na jezi.
Acha kutisha madogo wewe!..unataka wavae mashati ya vitenge kama wanafanya kaza halmashauri!?
 
Eti hakikisha uwe na mtoto, upumbavu tu huyo mtoto anakupa hela?
 
Na 2,hata mtoto siyo muhimu....
Nasisitiza,ishini maisha yenu hamtojutia
 
Najua haiwakusu ila nshanunua nguo za sikukuu

Sasa nyie endeleeni kuangaika na mambo ambayo hayawahusu unatoa ushauri kwa vijana wa miak30 wakat kuna vijana wa40 hawana kaz hawana watoto wala hawana mbele na wanaishi na maisha yao yanaenda
Kwanza mleta mada una umri gan maana ushauri wako mmmmh
 
Back
Top Bottom