Wale Wanawake Wanaoringia Shepu

Wengine wanao ringia shape hua wanaishia kuchangia harusi za wenzao ili hali wao wanazeekea kwa wazazi
 
Hapo ndo majuto yanapoanzia, na watu hata hawafuati mifano hai,
wacha waisome namba
 
vigumu kumpata yaan 1 in a milion
Niko UDSM hapa kati ya waliokatiza nawaona hao wa mashepu na sura. Na ni wanafunzi wa UDSM. Au kuna tatizo la vyeti hapa mkuu, kama ulichosema ni sahihi!!
 
Sema wenye shepu wana akili lakini hua wanajisahau hawazitumii kwa sababu wanatumia shepu kulengea.. [emoji1] sasa ona atakavoumia kama wanaume wote wakiwa kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…