cha tabora
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 424
- 208
Wengine wanao ringia shape hua wanaishia kuchangia harusi za wenzao ili hali wao wanazeekea kwa wazaziNa si shape tu... hata kama ana uzuri usoni kama wa malaika. Kama kichwani ni empty.... yaan 0 a.k.a hajielewi.. anaona huo uzuri ndio na shape ndio ambavyo vitampa maisha... hapo anajiloga . Hiyo shape itawashibisha wenye tamaa... lakin wanaume wenye akili na busara hawatoweza kwenda huko.