Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo humo mimi naweka maji unga chumvi au sukari tu alafu inakanda yenyewe?View attachment 881884
View attachment 881885
Bread maker I aka dad unga vizuri sana , una iset isimame kabla haijaanza baking. Wema vipimo vyako sawa
Ina uwezo wa kukanda kilo ngapi?View attachment 881884
View attachment 881885
Bread maker I aka dad unga vizuri sana , una iset isimame kabla haijaanza baking. Wema vipimo vyako sawa
Zipo wapi na bei gani?Kilo 2
Buy Bread Makers Online | Jumia TanzaniaInapatikana wapi?
Buy Bread Makers Online | Jumia TanzaniaZipo wapi na bei gani?
Asante sana kwa taarifa, mimi naomba ukipata ya kusonga ugali wa muhogo ni tag ikibidi ni PM. Mimi hasa shida yangu ipo hapo.Kabisa mkuu
Kwa nusu kilo unga
Chumvi 1/2 kijiko cha chai
Mafuta 200 mls
Maji 250 mils
mkuu samahani hivi pressure cooker za bei rahisi naweza kupata kkoo mitaa gani zile zusizotumia umeme maana jumuia nashindwa kuagiza
Please mbona unamvunjia heshima my dada?,muombe samahanUmeandika huku umekalia msumari nini mbona makosa ya kiuandishi ni mengi sana