Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Kwamba mbwa ni ngozi ya nje ikishachunwa anakuwa mbuzi na analiwa kama kawa🤣🤣sisi wanyalukolo hatuna tabu hapo
ee banahKwamba mbwa ni ngozi ya nje ikishachunwa anakuwa mbuzi na analiwa kama kawa🤣🤣
Trashsisi wanyalukolo hatuna tabu hapo
Hudhani kama ni tz na kwenye kibao wameandika kiswahili kabisa cha kTzPicha ya muda mrefu sana hiyo na sidhani kama ni Tz, anyway mbwa Watamu sana
Mwisho wa siku mbwa ni mtaam sanaHudhani kama ni tz na kwenye kibao wameandika kiswahili kabisa cha kTz
😅😅😅😅Mwisho wa siku mbwa ni mtaam sana