Mamba_Mtoni
JF-Expert Member
- Feb 18, 2023
- 420
- 766
kataa pombe.nikubali MimiπππEwaaaa!
Pombe ni sumu.
Pombe inadhalilisha.
Pombe inafilishi.
Kataa pombe kwa afya ya figo zako.
Uzuri mimi nimehamia kwenye gongo...[emoji39]
Mbinguni watapewa mwili mpya main mazima ya nnπππKataa vilevi
Kataa walevi
Tunza main na figo yako
Tunza afya yako
π
Mbinguni watapewa mwili mpya main mazima ya nnπππ
Desperado inabidi niijaribuNapenda zaidi desperado na amarula au zanzi vingine vimenishinda
Kumbe unatumia jirani [emoji11]Kanaleta usingizi haka
πππ kwani nilikwambia sinywi?
[emoji23] ile ya juzi itabidi irudiwe jirani, naona watu hamkufaidi vizuri [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] kwani nilikwambia sinywi?
Ile juzi nilijishaua tu sbb kesho yake ilikuwa bado siku ya kazi
Mwisho 2 π
Kazi bongo, ungepiga vituπππ kwani nilikwambia sinywi?
Ile juzi nilijishaua tu sbb kesho yake ilikuwa bado siku ya kazi
ππ irudiweeeee wkend[emoji23] ile ya juzi itabidi irudiwe jirani, naona watu hamkufaidi vizuri [emoji28]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Sasa hujui mi bado mwanafunzi[emoji23]Mwisho 2 [emoji23]
πππ chezea malipo ya kazi na sio kaziKazi bongo, ungepiga vitu
Basi nikajua katoto ka watu binti mlokoleKazi bongo, ungepiga vitu
Uzuri yule mbeba pochi atakuwepo pembeni yako[emoji28][emoji23][emoji23] irudiweeeee wkend
Unione nikimaliza kawine navyooanza kucheka cheka
Acha uogaπ€£π€£πππ chezea malipo ya kazi na sio kazi
Baby wako huyo Jack Palladino ndio alaumiwe