Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Mwachiluwi mbona hujapost picha ya kinywaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi natumia soda tena stone tangawizi hapa sipo hapanifaiMwachiluwi mbona hujapost picha ya kinywaji
Hutu tudude aisee, namaliza konyagi kubwa ila nikipiga k vant ndogo mbili nakuwa nimewaka sana😂, ndogo ni kali mnoLeo nipo uswahilini nainjoi dela na k vant View attachment 2537263
Daah kwanini sasaMimi natumia soda tena stone tangawizi hapa sipo hapanifai
izo pombe mm siziwezi kabisa labda flying fishi nayo ni mbili tuDaah kwanini sasa
Nitangaze chenye una ukweli nachoKwahio unaogopa kutangazwa au 😂
D
izo pombe mm siziwezi kabisa labda flying fishi nayo ni mbili tu
Duh 🙄Nitangaze chenye una ukweli nacho
Kataa vilevi
Kataa walevi
Tunza main na figo yako
Tunza afya yako
[emoji23]
Sasa kama sina kichwa cha pombe ni jilazimishe nije niokotwe uko na galagala kwenye maji 😂Mwanaume mzima
Kamanda nimesha piga viwili, na waswazi wamenikarimu kunipa dem kupiga kimoko,nasubiria kigodoro, ila hizi dera dah...!!!Hutu tudude aisee, namaliza konyagi kubwa ila nikipiga k vant ndogo mbili nakuwa nimewaka sana[emoji23], ndogo ni kali mno
Flying fish si ni juice hiyoD
izo pombe mm siziwezi kabisa labda flying fishi nayo ni mbili tu
Ile pombe bhna 😂😂😂Flying fish si ni juice hiyo
Mkuu hapo unaenjoy sanaKamanda nimesha piga viwili, na waswazi wamenikarimu kunipa dem kupiga kimoko,nasubiria kigodoro, ila hizi dera dah...!!!
Leo kulala itakua tabu..
Mmmh itakuwa tamu kweli hii?kiharufu Cha Nazi vipi?Ya nazi[emoji119]View attachment 2536917
Hiyo Ni hatari sasa😂😂😂 irudiweeeee wkend
Unione nikimaliza kawine navyooanza kucheka cheka
Karanga, korosho, ukitaka unywe kiwanda kizima gonga maziwa mtindi ya baridi pombe yote inapotea kama pepo wachafu
Utupe mrejesho yanayojiri huko,Kuna singeli moja inaimba"ingia Kati uonyeshe ugaigai mama" usikae mbali ukaona watoto wa kizaramo walivyo wagaigaiNimeambiwa saa tano kigodoro, leo silali....