Wale wapenzi wa timu ya Taifa ya Uganda(Uganda Cranes) Tukutane hapa

Wengine mnafanya kama utani ila hizi timu mbili kubwa zimewaharibu watu vibaya Sana jitu lipo radhi kabisa kuitakia kheri Uganda inasikitisha Sana.
 
Uganda ndio nchi pekee imepinga ushoga hadharani na kutunga sheria Kali dhidi ya huu ushetani.
Allah awajaalie mafanikio mema Uganda Cranes.
Viva[emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254]
Kwahiyo huyo Allah yeye kwake dhambi ni ushoga tu na sio mengine
 
Kwani shirikisho na klabu bingwa,ni yapi mashindano yenye hadhi?????
 
Mwehu wewe....
 
Wengine mnafanya kama utani ila hizi timu mbili kubwa zimewaharibu watu vibaya Sana jitu lipo radhi kabisa kuitakia kheri Uganda inasikitisha Sana.
JF ni kokoro linakusanya mpaka machizi. Huyu chizi ana Id 3 alifungua kwa ajili ya Vipers, Horoya na Raja dhidi ya Simba. Sasa ameaibika inabidi ahamie kwa Stars
 
Naona kibonde wenu amewafunga🤣🤣🤣🤣😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…