Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Ajali ikitokea hata bila miguu kuweka hapo, utajikuta mochwareeeee..!!!Wale washamba mnaowekaga miguu hapo, ajali ikitokea na airbag ikifunguka hiyo miguu utaikuta shingoni😂😂😂View attachment 3165736
Dah!Kwa hiyo waanze mazoezi ya yoga?Wale washamba mnaowekaga miguu hapo, ajali ikitokea na airbag ikifunguka hiyo miguu utaikuta shingoni😂😂😂View attachment 3165736
Inategemea kama itamanuka au la..!!Miguu ikienda shingoni unakamalisha ule msemo wa kifo cha mende chali..🤣🤣🤣
Mapema apo😂😂Dah!Kwa hiyo waanze mazoezi ya yoga?
Iyo muhim imanuke😂😂Inategemea kama itamanuka au la..!!
Mola awarehemu.Mapema apo😂😂
Hao siyo washamba, acha kuonea wivu michepuko. Huwa inajimwaga kukomoa màma mjengo.Wale washamba mnaowekaga miguu hapo, ajali ikitokea na airbag ikifunguka hiyo miguu utaikuta shingoni😂😂😂View attachment 3165736
We waona dili😂🤷🏽♂️Hao siyo washamba, acha kuonea wivu michepuko. Huwa inajimwaga kukomoa màma mjengo.
Danga hilo.Wale washamba mnaowekaga miguu hapo, ajali ikitokea na airbag ikifunguka hiyo miguu utaikuta shingoni😂😂😂View attachment 3165736
Siri ya nyuma ndo utainjoyhapo sio miguu tu, na mbwinya inapigwa dissection takatifu.
Halafu kumkomoa mtu ambaye hajui kama anakomolewa nako ni changamoto ya afya ya akili..!!Hao siyo washamba, acha kuonea wivu michepuko. Huwa inajimwaga kukomoa màma mjengo.
Hii n Yako alafu nilikupa lift ukajisahau na kuanika iyo V Yako apo mbeleHiyo miguu ni ya kwako? Samahani lakini