GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani kabisa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niseme Jambo au Kitu fulani halafu nikosee au nisiwe na uhakika nalo? au nimpende Mchezaji fulani kama nimpendavyo Khalid Aucho, Yanick Bangala, Jonas Mkude na Pape Ousmane Sakho halafu nikosee au wasiwe Wazuri kama nilivyowaona na Kuwasoma Kiuwezo?
Asante sana Mwenyezi Mungu (Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo) kwa Kunibariki na Kipaji kikubwa cha kufanya Critical Observation kuhusu Mtu au Jambo au Tukio fulani na kuwa na Jicho Kali kabisa la Kimaono na Kiufundi.
Ni Mimi ndiyo nilikuwa Mtetezi Mkuu wa Kiungo Jonas Gerald Mkude Mitandaoni pale 'Waswahili' wengi waliposema hatufai tena Simba SC na kwamba aachwe ila nikawa nasema Tanzania nzima bado sijaona Kiungo mwenye kila Kitu (Complete Defensive Midfielder) kama Yeye (Mkude) na asamehewe asiachwe na hatimaye leo ananijibia Kimatendo kwa Kucheza vizuri Uwanjani huku sasa akiwa ni 'more matured' na amekuwa na Nidhamu ya hali ya Juu na ndiyo Mhimili Mkuu wa Simba SC kwa sasa (Watu wa Mpira tunasema kuwa Mkude ndiyo mwenye Simba SC yake) Kudadadeki.
Na hivi majuzi tena niliibuka hapa hapa JamiiForums na kuwa Mtetezi Mkuu wa Mchezaji Pape Ousmane Sakho (Raia wa Senegal ) kuwa kamwe asiachwe Kikosini Simba SC na nikaenda mbele Kumchambua Kiufundi cha Kusikitisha kama Kawaida 'Waswahili' wakajitokeza na kuanza Kunidhihaki mpaka Kunitukana kuwa sijui Mpira, ila namshukuru Mwenyezi Mungu katika Mechi zake Tatu au Nne tu alizocheza Sakho ameshanijibia kwa 'Waswahili' kile nilichokuwa nakisema na namtetea.
Na kwa taarifa yenu tu 'Waswahili' huo 'Uwezo' wa Ajabu ( wa Hali ya Juu ) anaouonyesha sasa Mchezaji Pape Ousmane Sakho ni 45% tu ila tegemeeni Makubwa kutoka Kwake kwani ni Mchezaji mwenye Kipaji cha Hali ya Juu kabisa na ili umpate Sakho Mmoja yakupasa Uwaunganishe akina Ntibazonkiza, Mayele, Fei Toto na Moloko.
Haya 'Waswahili' karibuni tena muanze Kunipinga, Kunidhihaki na Kunitukana, ila msisahau tu kuwa Mwenyezi Mungu alinibariki vingi sana GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ambavyo nyie kutokana na 'Uswahili' wenu hakuona haja ya Kuwatunuku navyo na ifike mahala muwe mnakubali kuwa Binadamu ( Wanadamu ) tunatofautiana hasa katika 'Talanta' fulani fulani.
Asante sana Mwenyezi Mungu (Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo) kwa Kunibariki na Kipaji kikubwa cha kufanya Critical Observation kuhusu Mtu au Jambo au Tukio fulani na kuwa na Jicho Kali kabisa la Kimaono na Kiufundi.
Ni Mimi ndiyo nilikuwa Mtetezi Mkuu wa Kiungo Jonas Gerald Mkude Mitandaoni pale 'Waswahili' wengi waliposema hatufai tena Simba SC na kwamba aachwe ila nikawa nasema Tanzania nzima bado sijaona Kiungo mwenye kila Kitu (Complete Defensive Midfielder) kama Yeye (Mkude) na asamehewe asiachwe na hatimaye leo ananijibia Kimatendo kwa Kucheza vizuri Uwanjani huku sasa akiwa ni 'more matured' na amekuwa na Nidhamu ya hali ya Juu na ndiyo Mhimili Mkuu wa Simba SC kwa sasa (Watu wa Mpira tunasema kuwa Mkude ndiyo mwenye Simba SC yake) Kudadadeki.
Na hivi majuzi tena niliibuka hapa hapa JamiiForums na kuwa Mtetezi Mkuu wa Mchezaji Pape Ousmane Sakho (Raia wa Senegal ) kuwa kamwe asiachwe Kikosini Simba SC na nikaenda mbele Kumchambua Kiufundi cha Kusikitisha kama Kawaida 'Waswahili' wakajitokeza na kuanza Kunidhihaki mpaka Kunitukana kuwa sijui Mpira, ila namshukuru Mwenyezi Mungu katika Mechi zake Tatu au Nne tu alizocheza Sakho ameshanijibia kwa 'Waswahili' kile nilichokuwa nakisema na namtetea.
Na kwa taarifa yenu tu 'Waswahili' huo 'Uwezo' wa Ajabu ( wa Hali ya Juu ) anaouonyesha sasa Mchezaji Pape Ousmane Sakho ni 45% tu ila tegemeeni Makubwa kutoka Kwake kwani ni Mchezaji mwenye Kipaji cha Hali ya Juu kabisa na ili umpate Sakho Mmoja yakupasa Uwaunganishe akina Ntibazonkiza, Mayele, Fei Toto na Moloko.
Haya 'Waswahili' karibuni tena muanze Kunipinga, Kunidhihaki na Kunitukana, ila msisahau tu kuwa Mwenyezi Mungu alinibariki vingi sana GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ambavyo nyie kutokana na 'Uswahili' wenu hakuona haja ya Kuwatunuku navyo na ifike mahala muwe mnakubali kuwa Binadamu ( Wanadamu ) tunatofautiana hasa katika 'Talanta' fulani fulani.