Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Mkuu GENTAMYCINE salam kwako. Usikubali kupokea utukufu kabisa kama alivyofanya yule mwenda... ambaye Mungu aliamua kumpumzisha. Utukufu ni wa Mungu pekeeAmina Mkuu na Ashukuriwe zaidi Mwenyezi Mungu na namuomba huu 'Uwezo' na hii 'Talanta' ya Kipekee 'aliyonitunuku' nayo basi 'awatunuku' na Wengine pia ili wasiendelee kuwa 'Waswahili' kama walivyo sasa.
Toa ujinga wako kisinda anafunga Mara moja moja kama tone la drip ya damu ,kisinda amakimbilia pembeni na hawezi kuona wapinzani akawafuata huyu dume ni hatari anawafuata hapo hapo hawatie njaaSakho ni wakawaoda tu. Umachachari wake hauna utofauti na ule wa Kisinda.
Wanaokereka ni vyuraHuyo jamaa ananikera ushangiliaje wake,yaani wenzake wanaenda kumpa support anapofunga halafu yeye anawakwepa au pengine anawasukuma Kwa likono lake!
Ndio maana jana watu wakamwacha ashangilie Peke yake!
Kwa sasa simba ni kubwa mno kuliko wachezaji wa kibongo.......sajili zote za ndani zimefeli kumatch kwenye mfumo pale simba ni kibu tu ndio anajitutumuaUongozi wa Simba SC ubadilike na uache nao kufanya 'Uswahili' Kwetu Sisi Mashabiki.
Sihitaji kumtizama Mchezaji kwa dakika 90 au Mechi 3 au 5 ila Kwangu Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nikimuona tu Mchezaji kwa dakika 5 mpakae 15 zinatosha kujua Uwezo wake.
Namheshimu sana Kiungo Shiboub ila kwa sasa na anavyocheza nitaulamu mno Uongozi wa Simba SC ukimsajili kwani Simba SC ya sasa ina Viungo wazuri wa Kumzidi.
Huyu Mchezaji Moukoro Tenena ( Ivory Coast ) ndiyo bure ( hovyo ) kabisa kwani nae anazidiwa Vitu vingi na Mzawa Yusuph Mhilu.
Poti wangu Crescetius Magori najua 'unanifolo' na kunisoma sana hapa JamiiForums tafadhali achaneni na Shiboub na huyo Moukoro bali mwambie Mo aache Ubahili ( Ulugume ) wake na atusajilie Majembe ya maana siyo Vituko hivi.
Kibu nae papara kibao Ni vile Ana minguvu na pirika pirika ambazo huwachanganya mabek wa timu pinzan na ndicho kocha humpendea Ila tofaut na hapo hakuna kituKwa sasa simba ni kubwa mno kuliko wachezaji wa kibongo.......sajili zote za ndani zimefeli kumatch kwenye mfumo pale simba ni kibu tu ndio anajitutumua
naamSakho ni wakawaoda tu. Umachachari wake hauna utofauti na ule wa Kisinda.