Wale wataalamu wa Mpira hebu mnisaidie hapa....

huko kwenu vipi

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
1,520
Reaction score
1,462
habarini wanajamvi.........
Hivi ili mchezaji akose mechi inayofuata anatakiwa apate kadi za njano tatu mfululizo au hata kwa intervals.?

naombeni msaada kuna ubishi mkali hapa.....

Wengine wanasema lazima apate kadi tatu za njano ndo akose mechi inayofuata,wengine wanasema siyo mpaka apate njano tatu mfululizo hata akipata kwa round tofaut inayofuata atakosa,,,,,,,

Ukweli ni upi hapa?
 
Zinatakiwa zifuatane. Mfano tizama ata uefa kadi mbili consecutive automatic anakosa game inayofuata. Ila akipata alafu game inayofuata akakosa kadi yake inakuwa imekwisha.
 
Hapana, sio lazima ziwe mfululizo. Kadi 3 za njano zinahesabiwa kwenye mechi zote za same competition. Hata hivyo kila mashindano yanakuwa na marekebisho madogo ya sheria ambayo FIFA hayawahusu. Kwa mfano, after Round Of 16 kwenye Champions league, except red, but 3 yellow cards rule doesn't apply anymore. Hii inamaana kadi za njano zote zinasamehewa kwenye robo fainali.
 
Hata hivyo sheria za soka mara nyingi zinatofautiana kutokana na mashindano yenyewe. Kwa mfano, kama mtakumbuka, misimu michache iliyopita, Real Madrid ilinyang'anywa ushindi na kutolewa nje ya mashindano ya Copa del Rey kwa kumchezesha Denis Cherishev ambaye alikuwa na 3 yellow cards za previous season ambazo alipewa akiwa na timu nyingine kabisa.
 
Kadi mbil za njano mfululzo kwa game mbil game ya tatu utakosekana

Kadi tatu za njano haijalish n mfululzo unakosa game inayofuata

Lakn bado kuna terms na conditions kupelekea msamaha wa hzo kadi kama kutoka mzunguko kwenda 16bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…