Forever livingOngeza na vanilla
Ni tag huo uzi niusome mkuu
Huu tu mi mtego tosha kuonyesha kuna upigaji.
Daaah we Acha 2 mkuu , mm ndio naiona hapa sasahivi JF,watu wanapita kimya kimya kwenye fusra,naunga mkono hojaYaani kuna fursa mjini watu hatuna taarifa!? wabongo ya nini kunyimana fursa hata kama ni kuumia tuumie wengi.
Wanaanza hivohivo hapo wapo wanatoa helaNaomba Tusome na Tusaidiane Tafsiri kwa Faida ya Wengine.View attachment 2719011