Hahahah, sasa utapataje mzuka kwa kujitekenya mwenyewe? [emoji23] [emoji23]Muda mwingine unaona wivu kumbe ni mtu mmoja anajisifia.
Fungua Id ya kike ziwe zinasifiana. tena uwe unajitumia na PM mambo baby! haujambo jamani nimekumisije!
Tunapoona wivu unafurahia....Hahahah, sasa utapataje mzuka kwa kujitekenya mwenyewe? [emoji23] [emoji23]
honeybaby
Aisee! Huo muda wa kutumia account 2 sijui wanaupatajeTunapoona wivu unafurahia....
[emoji85] [emoji85]Hahahaaa. Dadaaaaa.
Hahahaaaa. Ila sio kwa kujiamini kule eti umebadili Id lol.Unapofurahi wewe mwenzako huku nafurahi mara 2,,,, hivyo tuambukizane furaha my best friend
Naona umemua kumchoma Kush.[emoji85] [emoji85]
sina la kusemahoney
nakupendasina la kusema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mnasifiana mno jamani,,
unakuta KE anamsifia sana Mzee baba kwamba anajua majambozi, shauri yako alafu mashosti wako wakijilingesha mzee baba anapita tu,, alafu unaanza oooh wanaume hawaridhiki jaman, kumbee we ndo umesababisha
unakuta ME anamsifia mchuchu wake kwamba anayajua mapigo ya mwambao, anakupa kula kitu hahahah,, shauri yako mzee baba unasababisha mate yatutoke CC
Hahaaa. Hii ni kubwa kuliko lol.Ya nn uumie Mkuu
Yakikushinda mtag wako amabaye hayupo JF [emoji57]
Sipendagi ujinga mm, vitu easy kabsa hv
Cc Mwajuma_wangu [emoji41]
we umecheka ila Mimi nimeona aibu sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimecheka lol.
sema hakya mamaNitakuibia shaurilo
sema hakya mamaNitakuibia shaurilo
Hakya 'mama'!sema hakya mama