Wale wenye mahusiano ya Mahaba jf KE/ME,, Mpunguze kusifiana kupita maelezo,, mnasababisha sie tulio Single ME/KE tunaanza kutamani yaliyomoyamo?

Wale wenye mahusiano ya Mahaba jf KE/ME,, Mpunguze kusifiana kupita maelezo,, mnasababisha sie tulio Single ME/KE tunaanza kutamani yaliyomoyamo?

Ila kwathread zaleo naamini kuna baadhi ya pm zamademu zitakuwa zimejaa walah maana kuna watu kumbe wanajuana humu vzr zaidi yakufahamiana, Basi namimi jamani naombeni unigaiye hata mmoja walah sitatangazisha humu labda kama utaamua utangazishe mwenyewe.

NB: hakuna anayenifahamu humu jamani hata ndugu zangu najamaa zangu hawajui kama nipo humu sijui nani aliniletaga humu aisee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mnasifiana mno jamani,,

unakuta KE anamsifia sana Mzee baba kwamba anajua majambozi, shauri yako alafu mashosti wako wakijilingesha mzee baba anapita tu,, alafu unaanza oooh wanaume hawaridhiki jaman, kumbee we ndo umesababisha

unakuta ME anamsifia mchuchu wake kwamba anayajua mapigo ya mwambao, anakupa kula kitu hahahah,, shauri yako mzee baba unasababisha mate yatutoke CC


Haya mambo huwa siri ya ndani. Hivi kuna wana ndia huwa wanasifiana humu ?

Bila shaka wafanyao hivyo si wana ndoa.
 
Back
Top Bottom