1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mnasifiana mno jamani,,
unakuta KE anamsifia sana Mzee baba kwamba anajua majambozi, shauri yako alafu mashosti wako wakijilingesha mzee baba anapita tu,, alafu unaanza oooh wanaume hawaridhiki jaman, kumbee we ndo umesababisha
unakuta ME anamsifia mchuchu wake kwamba anayajua mapigo ya mwambao, anakupa kula kitu hahahah,, shauri yako mzee baba unasababisha mate yatutoke CC
mnasifiana mno jamani,,
unakuta KE anamsifia sana Mzee baba kwamba anajua majambozi, shauri yako alafu mashosti wako wakijilingesha mzee baba anapita tu,, alafu unaanza oooh wanaume hawaridhiki jaman, kumbee we ndo umesababisha
unakuta ME anamsifia mchuchu wake kwamba anayajua mapigo ya mwambao, anakupa kula kitu hahahah,, shauri yako mzee baba unasababisha mate yatutoke CC