Wale wenye sera ya Majimbo waangalie Ethiopia

Wale wenye sera ya Majimbo waangalie Ethiopia

Kuna chama nchini kimekua kikitumiwa kugawa Watanzania kijiografia na kitabaka. Nasema kinatumiwa kwa sababu umoja wa watanzania umekua kikwazo kikubwa kwa wale wenye nia ya kuligawa taifa kwa mizozo ili wamiliki kirasi uchumi wake.

Nchi kama Ethiopia imehangaika miaka mingi kujenga uzalendo wa kitaifa ila wapinga maendeleo wamekua kikwazo kwa kushikilia ukabila na umajimbo.

Kutokana na kuzidiwa na waunga ukabila na umajimbo wakasalimu amri na kuruhu serikali za majimbo imara kwa msingi wa ukabila. Hivi leo uzalendo wa kikabila unahatarisha kusambaratika taifa hilo. Katika mfumo wao kila jimbo lina bunge lake Rais wake na majeshi yake jambo limeonekana sasa kutishia umoja wa taifa hilo.

Hapa nchini Chadema wamekua wanapigia chapuo sera za ujimbo kama ule unapatika kule ethiopia. Eti umajimbo ndio utaletea taifa maendeleo. Kwamba kila jimbo na mali asili zake wapambane kuendeleza watu wao.

Kwa nchi changa inayotafuta maendeleo umoja ndio nguzo ya amani. Bila shaka tumeona nini kinatokea ethiopia. Jimbo la tigray limeasi linapigana vita na jeshi la taifa. Majimbo mengine kila ya leo yanatishia serikali kuu.

Na kila siku kila kabila linadai lipewe kua jimbo. Ni vurugu tupu kwa nchi ambayo katika miaka ya karibuni wamefanya vizuri sana kuipatia nchi yao maendeleo sasa adui zake wanaibomoa kirasihi kwa kukosa umoja.
Chadema ni wachaga Wana mentality za kikabila Sana. Unajua Kilimakyasharo Haina tofauti na Kenya kabisa kikabila. Kafungue biashara Moshi uone kama utauza.
Wachaga wenyewe wanabaguana huko kwao Mana mrombo hanunui kwa mmachame ni mwendo wa kwa mrombo mwenzao..
Yaani ukabila unatakiwa kuisha na udini.
Kuwa na Imani yako kivyako unavyojua weee.
 
Unajiona una akili... Kumbe mbumbumbu! Waangalie pia RSA, Japan, Canada...
Kuna chama nchini kimekua kikitumiwa kugawa Watanzania kijiografia na kitabaka. Nasema kinatumiwa kwa sababu umoja wa watanzania umekua kikwazo kikubwa kwa wale wenye nia ya kuligawa taifa kwa mizozo ili wamiliki kirasi uchumi wake.

Nchi kama Ethiopia imehangaika miaka mingi kujenga uzalendo wa kitaifa ila wapinga maendeleo wamekua kikwazo kwa kushikilia ukabila na umajimbo.

Kutokana na kuzidiwa na waunga ukabila na umajimbo wakasalimu amri na kuruhu serikali za majimbo imara kwa msingi wa ukabila. Hivi leo uzalendo wa kikabila unahatarisha kusambaratika taifa hilo. Katika mfumo wao kila jimbo lina bunge lake Rais wake na majeshi yake jambo limeonekana sasa kutishia umoja wa taifa hilo.

Hapa nchini Chadema wamekua wanapigia chapuo sera za ujimbo kama ule unapatika kule ethiopia. Eti umajimbo ndio utaletea taifa maendeleo. Kwamba kila jimbo na mali asili zake wapambane kuendeleza watu wao.

Kwa nchi changa inayotafuta maendeleo umoja ndio nguzo ya amani. Bila shaka tumeona nini kinatokea ethiopia. Jimbo la tigray limeasi linapigana vita na jeshi la taifa. Majimbo mengine kila ya leo yanatishia serikali kuu.

Na kila siku kila kabila linadai lipewe kua jimbo. Ni vurugu tupu kwa nchi ambayo katika miaka ya karibuni wamefanya vizuri sana kuipatia nchi yao maendeleo sasa adui zake wanaibomoa kirasihi kwa kukosa umoja.
 
KWA SABABU SHUKA NYEUPE DOA KIDOGO TU LIMEONEKANA
Bad choice for an example. Kwanini tusiangalie US, India, Kenya, Afrika Kusini, Brazil, n.k? Kwanini unatulazimisha tuiangalie Ethiopia peke yake? Kwanini tusiangalie hata Afghanistan?
 
Mimi ni mfuasi wa upinzani ila sikubaliani na sera za majimbo
 
Huo mfumo wa chadema wenyewe haa hawauishi. Wamekimbia wlikozaliwa wengine wako Dar, Mwanza na kqingineko. Hawayaaa hayo maimbo yo
 
Kwa mfumo tulio nao sasa wa uongozi, ngazi za mikoa inatakiwa hawa watendaji waombe kazi na kufanyiwa interview. Wakulugenzi na watendaji wote.

Wakuu wa mikoa watolewe tu hawana faida wanaongeza tu gharama za serikali. Mawaziri wote waombe kazi kama watendaji wengine na kupitishwa na bunge kwa kujadiliwa na kihojiwa.
 
Chadema ni wachaga Wana mentality za kikabila Sana. Unajua Kilimakyasharo Haina tofauti na Kenya kabisa kikabila. Kafungue biashara Moshi uone kama utauza.
Wachaga wenyewe wanabaguana huko kwao Mana mrombo hanunui kwa mmachame ni mwendo wa kwa mrombo mwenzao..
Yaani ukabila unatakiwa kuisha na udini.
Kuwa na Imani yako kivyako unavyojua weee.
Hii ninpropaganda ya kitoto kabisa na chuki dhidi ya wachagga. Unajisemea kwa kuwa una uhuru wa kutoa maoni hata kama hayana ukweli wowote.
 
Hii ninpropaganda ya kitoto kabisa na chuki dhidi ya wachagga. Unajisemea kwa kuwa una uhuru wa kutoa maoni hata kama hayana ukweli wowote.
Mpaka gari hizi basi hawapandi wakishajua ni ya chasaka.
Mie Sina chuki Ila ninachukia Tabia zako ulizo nazo. Kwani nayoongea ni uwongo
Ukiwa Kanda hiyo hapo wasipokujua ni kabila gani swali lao utasikia "" aisee wewe ni mtu wa wapi"" namwambia mi ni kyasaka ama kishoia
 
Kwani hapa kwetu tunapogawa mikoa midogo midogo mingi hailengi ukabila? Je hatujaanza hilo? Utanielewa baadae tukiwa tumechelewa
 
Bad choice for an example. Kwanini tusiangalie US, India, Kenya, Afrika Kusini, Brazil, n.k? Kwanini unatulazimisha tuiangalie Ethiopia peke yake? Kwanini tusiangalie hata Afghanistan?
Kwani kenya na na afrika ya kusini unaona wako vizuri kuhusu umoja wa kitaifa? Pia inategemeana majimbo wanakua na madaraka ya aina gani. Huko kenya india na afrika ya kusini majimbo hayahi hadi na majeshi ya kivita yanayoweza kutishia kujitenga na serikali kuu.
 
Back
Top Bottom