wale wenzangu wa UDOM hebu tutete kidogo hapa!!!!!

wale wenzangu wa UDOM hebu tutete kidogo hapa!!!!!

we mbona kihelehele we c wa mkwawa ? udom imekupataje ?
shangaa ww sasa ana kihere here nae uyu udom maji c tatizo muhimu uwe na vyombo tu vya kuhifadhia na mara nyingi watu huwa na majaba yani apo shida utaickia mbali karibu UDOM
 
nimekaa college of education mwaka mzima bila shida ya maji labda kuwe na matengenezo huwa wanatoa taarifa kabla hayajakatwa ili stdnts wajaze vtombo vyao.kwa sasa chuo kinaendeleya na ujenzi wa visima kwe milima so nadhan shida ya maji itasahaulika kabisa
 
-Yaani unajua ninyi watoto wa Mulugo ni mzigo? Umechaguliwa jana kwenda UDOM, leo unataka kujua kila kitu kuhusu UDOM, ili iweje? Ok, unataka kujua joining instructions zinatoka lini, nani ana hizo official information? Whay can't you leave the system work out outomatically, then you will be informed? Nachelea kuamini iwapo elimu ya sasa, ya chuo kikuu bado ina thamani. Kule A'level na kushuka chini, tayari ni hovyo, tushaharibu!

funguka some time vijifikirie
 
Back
Top Bottom