wale wenzangu wa UDOM hebu tutete kidogo hapa!!!!!

we mbona kihelehele we c wa mkwawa ? udom imekupataje ?
shangaa ww sasa ana kihere here nae uyu udom maji c tatizo muhimu uwe na vyombo tu vya kuhifadhia na mara nyingi watu huwa na majaba yani apo shida utaickia mbali karibu UDOM
 
nimekaa college of education mwaka mzima bila shida ya maji labda kuwe na matengenezo huwa wanatoa taarifa kabla hayajakatwa ili stdnts wajaze vtombo vyao.kwa sasa chuo kinaendeleya na ujenzi wa visima kwe milima so nadhan shida ya maji itasahaulika kabisa
 

funguka some time vijifikirie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…