Wale wote 'mnaomtetea' Haji Manara na 'Upuuzi' na 'Unafiki' wake popote pale mlipo naomba mnijibu haya Maswali yangu Kwenu

Haji anasilimu na kuingia yanga wiki 2 zijazo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Umenena vema sana mkuu. Nashangaa hata TFF wameuchuna tu.
Haji kama hakuridhika angewaachia wenye timu ama la angefungua jalada.
 
Mkuu unaona kinachoendelea Barcelona ubovu wa management ndio umewapeleka pale
Yes nauona ndomaana ata last season wamefanya vibaya sana kwenye mashindano yote hila bado Simba ajapitia hizo hekaheka toka Mo apewe team so far team inapelekwa vizuri tu makombe muhimu ya ndani wanachukua kimataifa wanafanya poa sasa kuna ubaya gani boss akirudisha chenchi zake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…