HahahaToa mpunga uagiziwe au ukubali kupigwa tsh 580,000-660,000 kwa iliyo mkononi tayari maana wenzio wanazisotea hadi siku 40 afu wakuachie kirahisi rahisi......
Naona Hong Kong goldway karudi kumchallenge bado Mi retail store na X-show mambo yatarudi kama zamani
Ondoa shaka mkuu, Lenovo official store ana mizigo ya kutosha.
Ondoa shaka mkuu, Lenovo official store ana mizigo ya kutosha.
Wako vizuri wale sema watu hawana mzuka nazo maana xiaomi ndio inatrend hapa hadi huu Uzi umetamaraki.
Wiki 3 hivi tangu mzigo utumwe boss wangu!!!
Mara nyingi ni wiki tatu baada ya muuzaji kutuma mzigo.
Mkuu haya mambo ya kuagiza nilianzia eBay then nikahamia mazima aliexpress kutokana na unafuu wa bei maana vitu vingi kutoka China kule vinauzwa bei kuliko Aliexpress.eBay na Amazon vipi kwenye utumaji wa electronics? In terms of cost na muda wa kusubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii umechukua Kwa sh ngapiKua mpole atatuma na itafika tu... Mm yangu imefika juzi, hapa bado nipo natoa ushambaView attachment 1050167
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kunielekeza jinsi ya kuagiza hii simu next week nifanye utaratibuMm nilichukua kwa laki mbili arobaini.
Kwa budget yako unapata Redmi 7, ni best value for your money.
View attachment 1050298View attachment 1050299View attachment 1050300View attachment 1050301
Mkuu msaada wa procedure jinsi ya kuagiza hiyo note 7
Kwanza: Jisajili kwenye website husika AliExpress, Gearbest, LightInTheBox, eBay nk . Utajaza taarifa zako zote muhimu.Unaweza kunielekeza jinsi ya kuagiza hii simu next week nifanye utaratibu
Ila kama ndio unaanza,... Anza kuagiza vitu vyenye thamani ndogo Mf: Earphone, SD Card, Flash Drive, etc kupata uzoefu zaidi. Ili ukitaka kuagiza mzigo wenye thamani unakuwa hauna hofu na unachokifanya.Unaweza kunielekeza jinsi ya kuagiza hii simu next week nifanye utaratibu
Asante mkuuIla kama ndio unaanza,... Anza kuagiza vitu vyenye thamani ndogo Mf: Earphone, SD Card, Flash Drive, etc kupata uzoefu zaidi. Ili ukitaka kuagiza mzigo wenye thamani unakuwa hauna hofu na unachokifanya.
Asante sanaKwanza: Jisajili kwenye website husika AliExpress, Gearbest, LightInTheBox, eBay nk . Utajaza taarifa zako zote muhimu.
Pili: Unatakiwa kujaza shipping address hapa wengi tunatumia postal address kwa sababu ya unafuu.
Tatu: Unatakiwa kuwa na njia ya malipo utakayotumia kulipia, utajaza taarifa za malipo kama ni kwa Debit card, Credit card, Prepaid card, Visual card ( VISA or MasterCard branded), paypal, wire transfer, western union, nk.
Mwisho: Mzigo utauchukua ofisi ya posta. Unaweza kulipa kodi au usilipie.
Kwanza: Jisajili kwenye website husika AliExpress, Gearbest, LightInTheBox, eBay nk . Utajaza taarifa zako zote muhimu.
Pili: Unatakiwa kujaza shipping address hapa wengi tunatumia postal address kwa sababu ya unafuu.
Nyongeza Jina liwe sawa na la kwenye kitambulisho Cha kura/cha taifa.
Tatu: Unatakiwa kuwa na njia ya malipo utakayotumia kulipia, utajaza taarifa za malipo kama ni kwa Debit card, Credit card, Prepaid card, Visual card ( VISA or MasterCard branded), paypal, wire transfer, western union, nk.
Mwisho: Mzigo utauchukua ofisi ya posta. Unaweza kulipa kodi au usilipie.
kwenye upande wa njia ya malipo unaweza kutumia master card ya M-pesa kulipa?Kwanza: Jisajili kwenye website husika AliExpress, Gearbest, LightInTheBox, eBay nk . Utajaza taarifa zako zote muhimu.
Pili: Unatakiwa kujaza shipping address hapa wengi tunatumia postal address kwa sababu ya unafuu.
Tatu: Unatakiwa kuwa na njia ya malipo utakayotumia kulipia, utajaza taarifa za malipo kama ni kwa Debit card, Credit card, Prepaid card, Visual card ( VISA or MasterCard branded), paypal, wire transfer, western union, nk.
Mwisho: Mzigo utauchukua ofisi ya posta. Unaweza kulipa kodi au usilipie.
100%kwenye upande wa njia ya malipo unaweza kutumia master card ya M-pesa kulipa?