Nikuvue ngapiKama mimi....
Hii yangu ni Mi 5s plus, yani sijaichokaa.
Nataka niagize Mi 8 plus.
Mi mostly ni highend smartphone mkuu hata bei zake mkasi ila Redmi ni mid range za kati ko mi 8 iko juu sana kwa note 7 atleast hata note 7 pro maana ina camera ya highend smartphone pia haiwezi kuiguza mi 8 sio mi 8 lite ni mi 8 yenyewe.Mkuu kumbe mi series ni zaidi ya Redmi series
Mbona mimi ni Redmi ila naona features nimempiku huyo wa mi 8
Je uzaidi wa mi 8 kwa redmi note 7 ni upi
Naomba unieleweshe mkuu kabla sijabadili maamuzi ya kutafuta mi series
Kama simu yenyewe ndo hii mbona kama note 7 yangu inachanjaMi mostly ni highend smartphone mkuu hata bei zake mkasi ila Redmi ni mid range za kati ko mi 8 iko juu sana kwa note 7 atleast hata note 7 pro maana ina camera ya highend smartphone pia haiwezi kuiguza mi 8 sio mi 8 lite ni mi 8 yenyewe.
Mi 8 ni fupi pana,nyemba na nyepesi kuliko note 7 pia Ina camera kali, powerful processor na Kioo cha Super AMOLEDMi mostly ni highend smartphone mkuu hata bei zake mkasi ila Redmi ni mid range za kati ko mi 8 iko juu sana kwa note 7 atleast hata note 7 pro maana ina camera ya highend smartphone pia haiwezi kuiguza mi 8 sio mi 8 lite ni mi 8 yenyewe.
Karibu sanaWakuu mie nina black shark nakaribishwa hapa?
Umeangalia kigezo kipi mkuu? High-end itabaki kuwa high-end, hata kama ni ya miaka miwili nyuma na itapitwa na mid-range kwenye features chache mno!Kama simu yenyewe ndo hii mbona kama note 7 yangu inachanja
TZS 850,298.86 | Global Version Xiaomi Mi 8 6GB 128GB 6.21" Full Screen Snapdragon 845 Octa Core 20MP Front Camera Face Unlock NFC Mi8 Smartphone
Jaribu kuangalia features za Mi 9 utagundua utofauti mkubwa uliopo, kuanzia built quality, chipset, camera, pia hardware kiujumla ni beast. Sema kwenye hizi high-end hawaweki battery kubwa kama kwenye mid-range.Mkuu kumbe mi series ni zaidi ya Redmi series
Mbona mimi ni Redmi ila naona features nimempiku huyo wa mi 8
Je uzaidi wa mi 8 kwa redmi note 7 ni upi
Naomba unieleweshe mkuu kabla sijabadili maamuzi ya kutafuta mi series
Umeangalia kigezo kipi mkuu? High-end itabaki kuwa high-end, hata kama ni ya miaka miwili nyuma na itapitwa na mid-range kwenye features chache mno!
Jaribu kuangalia features za Mi 9 utagundua utofauti mkubwa uliopo, kuanzia built quality, chipset, camera, pia hardware kiujumla ni beast. Sema kwenye hizi high-end hawaweki battery kubwa kama kwenye mid-range. View attachment 1079893
Nadhani wanamaintain wembamba na uzito mwepesi wa simuOK
Sasa kwanini battery za high end sio kubwa
Yep! Karibu ulimwengu wa Xiaomi yapo mengi ya kuyafahamu na kujifunza kuhusu hii brand inayochipukia kwa kasi. Na kama unakumbuka mara ya kwanza kabisa hapa jukwaani wakati unataka kununua simu nilikushauri Pocophone F1 by Xiaomi ambayo ni high-end inayouzwa kwa bei himilifu ukilinganisha na high-end nyingine za Xiaomi.Inaonekana mi bado mgeni kwenye industry ya Xiaomi, kuna mambo bado sijaelewa kumbe kuna xiaomi za high end Na mid range
Na hiyo mi 8 kumbe high end Basi nimekuelewa chief
Kabisa! Hii ndio sababu ya msingi, battery kubwa inakuwa na ujazo mkubwa zaidi wa madini ya lithium. Ndio maana kwenye hizi high-end wanaweka battery lenye ujazo mdogo kupunguza uzito na kuifanya iwe nyembamba zaidi.Nadhani wanamaintain wembamba na uzito mwepesi wa simu
Karibu, wewe mwenzetu.Wakuu mie nina black shark nakaribishwa hapa?
Yep! Karibu ulimwengu waXiaomi yapo mengi ya kuyafahamu na kujifunza kuhusu hii brand inayochipukia kwa kasi. Na kama unakumbuka mara ya kwanza kabisa hapa jukwaani wakati unataka kununua simu nilikushauri Pocophone F1 by Xiaomi ambayo ni high-end inayouzwa kwa bei himilifu ukilinganisha na high-end nyingine za Xiaomi.
Ila usijali kwa kuwa kila kitu unachotaka kipo kwenye Redmi Note 7 that's decent!Kumbe pocophone ni high end dah mkuu kumbe nimepotea njia [emoji2297]
Ila usijali kwa kuwa kila kitu unachotaka kipo kwenye Redmi Note 7 that's decent!
Kama vipi iyeyushe tu humu hukosi mdau wa kuibeba jumla hiyo.Ushanipa moto natumia hii najipanga kwa ujio mpya wa high end
Acha tu! Kuna simu ya mdau hapa, siku 23 sasa haijatumwa, huyu fantacy technology inaonekana amezidiwa sasa.Kama vipi iyeyushe tu humu hukosi mdau wa kuibeba jumla hiyo.
Mi mwenzio bado nasotea niliyoiagiza kitambo
Ahsante mkuu,ngoja nikusanye kusanye ,na mimi niagizeKamera iko vizuri sana MP 48 Si haba, hata usiku nachukua picha clear
Ni 4G Internet iko na kasi
Simu haichemki kabisa mkuu labda mbeleni ila kwa sasa iko poa
Inakaa na chaji mimi 70% ya siku yangu nategemea simu, nikiamka nayo asubuhi iko full hapo nitapokea na kupiga simu, nitabrowse, nitapiga mapicha ya hapa na pale, kiufupi kwa kazi zangu simu iko mkononi muda wote kuja kuchaji tena hadi saa 11 jioni
Simu ipo faster