BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Inamaanisha kwamba anategemea zaidi namba ya simu yaani mzigo Ukifika unabaki posta Kuu na atapigiwa simu kupita namba yake aliyoisajili aliexpress.
Inamaanisha kwamba anategemea zaidi namba ya simu yaani mzigo Ukifika unabaki posta Kuu na atapigiwa simu kupita namba yake aliyoisajili aliexpress.
Kwa hiyo mzigo ukifika wanaweka kwenye sanduku lako?
Mzigo kama simu unatosha kwenye kile kibox?
Ina maana umeandika physical address? Na namba ya simu sio?Ndio inatosha ila Hata ukiwa na sanduku mzigo hauwekwi sandukuni kl, kwenye sanduku wanaweka kikaratasi tu chenye code fulani
Muhusika wa sanduku atakiwasilisha hicho kikaratasi mapokezi na atakabidhiwa mzigo wake kama ni simu au spika n.k
Mimi sina Sanduku nimeweka namba ya simu tu, watanipigia kava langu la simu likishawasili, track namba inasoma mzigo utawasili Jumanne ya wiki ijayo
Ina maana umeandika physical address? Na namba ya simu sio?
Wanachukua asilimia ngapi kwa wastani?UPDATE:
Kwa sasa ukiagiza simu kwa Posta ni lazima ulipie Kodi hata kama hujatumia DHL.
TRA wanafungua mizigo kuhakiki kila kitu,kodi ni kutegemea na gharama ya simu
VAT - 18%Wanachukua asilimia ngapi kwa wastani?
20% kiasi cha kawaida sana. Ukitumia DHL ni zaidi ya hapo.VAT - 18%
Railway development Levy- 1.5%
Customs processing fee - 0.6%
Shida hapo wanaweza kukadiria bei kubwa ya kitu ulichonunua tofauti na bei halisiVAT - 18%
Railway development Levy- 1.5%
Customs processing fee - 0.6%
Kuna simu 3 nmeagiza nasubiri zifike nithibitishe then nitaleta mrejesho!!!UPDATE:
Kwa sasa ukiagiza simu kwa Posta ni lazima ulipie Kodi hata kama hujatumia DHL.
TRA wanafungua mizigo kuhakiki kila kitu,kodi ni kutegemea na gharama ya simu
Unaipata bila shida.Je mimi wa mkoani nikitumia sanduku langu la posta huku napata bila shida?
20% ni kimbembe Kaka iwapo umeagizia mtu mzigo wa laki 5 ina maana laki nzima itakutoka hapo!!20% kiasi cha kawaida sana. Ukitumia DHL ni zaidi ya hapo.
Mhhh! Hapo pagumu, lakini mara nyingi kwenye invoice hawaandiki hiyo laki tano yote, na kodi inakadiriwa kutokana na invoice ilivyoandikwa.20% no kimbembe Kaka iwapo umeagizia mtu mzigo wa laki 5 ina maana laki nzima itakutoka hapo!!
Shida ni kwamba jamaa ushamwambia gharama yako ni 30,000 hujampanga kuhusu kodi Mbona utakuwa mtafutano.
Yaaan! Ni kisanga na robo. Iliwai kunikuta hii ila mteja alinielewa akalipia customs duty na tulitumia DHL ya HK kuleta mzigo. Mie nilikuwa nimezoea ile DHL ambayo nikitumiwa mizigo huwa sichajiwi na mamlaka ya mapato naletewa mzigo hadi mlangoni.20% ni kimbembe Kaka iwapo umeagizia mtu mzigo wa laki 5 ina maana laki nzima itakutoka hapo!!
Shida ni kwamba jamaa ushamwambia gharama yako ni 30,000 hujampanga kuhusu kodi Mbona utakuwa mtafutano.
Cha muhimu tusubiri wadau wengine walete feedback tujue mapema.
Shida wale jamaa wakati mwingine wanakadiria kivyao vyaoMhhh! Hapo pagumu, lakini mara nyingi kwenye invoice hawaandiki hiyo laki tano yote, na kodi inakadiriwa kutokana na invoice ilivyoandikwa.
Juzi nimetoka kuchukua items tano, lakini sikulipia VAT wala custom duties. "Tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu"
Ebu tuambie,... Uliagiza mzigo wa bei gani na ukatozwa kodi kiasi gani kama hautojali.UPDATE:
Kwa sasa ukiagiza simu kwa Posta ni lazima ulipie Kodi hata kama hujatumia DHL.
TRA wanafungua mizigo kuhakiki kila kitu,kodi ni kutegemea na gharama ya simu