Mm ni miongoni mwa mfatiliaji mzuri sana wa huu uzi,kwa walee wataopenda kuagiza vitu online kwa sasa sio lazima uwe na posta address unatumia address ya posta kuu ya mkoa ulipo na unaweka na namba yako ya simu.mzigo ukifika utatumiwa sms au kupigiwa simu ila hii sio kwa wote kwa hyo ni vema ukawa unatrack mzigo wako mpaka pale utakapofika nchini.mm mzigo ukifika huwa nakaa siku 2 naandika tracking number kwenye karatasi na tarehe mzigo ulipoingia kisha namkabidhi muhusika ofisini,ataangalia km mzigo utawa tayari processed nitapatiwa hapo au ataniambia niende siku flani.
Kwa wakat wa DSM hapo chini nimeweka picha ya address kuu ambayo ni 11000
Pia niambatanisha na screenshot ya baadhi ya mizigo niliyopokea
Kingine kuna hli swala la kodi,kuna siku nilisema huku niliahiza speaker ya anker kwa $64 ila mzigo ulipofika pamoja na kuwaonesha bei halisi ya biadhaa ila nilipigiwa hzo hesabu za kulipa kodi zikafika karibia 73,000 tena unaenda kulipia bank kabisa.kwahyo jamaani mnapoagiza mizigo mikubwa hvyo vitu tarajieni kuvikuta ila kwa simu na computer makato hayazidi hyo 20%.
N.b mm sina posta address na miaka yte ndo njia nayotumia na sijwah kupotelewa na mzigo wwte ule,kwa small package huwa silipii chochote wakati wakuchukua mizgo.
View attachment 1083645View attachment 1083646View attachment 1083647View attachment 1083648View attachment 1083649