Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Duuuh mkuu umeshusha sana yan..haiwezekan kwa jins ilivyo oneplus 7 pro iwe kuanzia 300usd. Xiaomi Mi9 ni bei gani kama wajua
 
Mkuu hiyo OnePlus imeizidi nini Mi 9 se mbona specs zinakaribiana ila Bei ya OnePlus ipo juu sana?
 
Duuuh mkuu umeshusha sana yan..haiwezekan kwa jins ilivyo oneplus 7 pro iwe kuanzia 300usd. Xiaomi Mi9 ni bei gani kama wajua
Rejea maandishi yangu hapo juu mid rage phone haivuki $400 - $500 .
Mi 9 hii hapa kwa attachement $499.
Ukishafika $600 wewe ni flagship tu kwa brand yako.
Check Specs za hii MI 9 vs Oneplus 7 pro pia utagundua kitu.
 
Mi 9 SE ni kama lite version ya Mi 9 yenyewe.
Mi 9 yenyewe ina snapdragon 855 kama Oneplus 7 pro. Ina amoled screen pia .
One plus aliomzidi Mi 9 ni kwenye battery tu Oneplus battery 4000mAh while Xiaomi Mi 9 ni 3300 mAh. Labda na Camera ambazo zinaweza pambanishwa One on One.
Stilll huoni pricing kwa Oneplus imelala kwa Brand ?
Kumbuka hawa wote ni wachina ila Oneplus alitokea kupata kukubalika zaidi kwa Wazungu kuliko Xiaomi kipindi fulani . So i guess ni branding tu ndio inafanya price iwe hivyo.
 
Hiyo Mi9 se kwanza ni lowest variant kweny Mi 9 series..kwahy mtoe kabsa. Xiaomi atabak unbeatable kweny hizo mid range phones tuu. Tuache kufananisha Xiaomi na simu za maana bhana
Sio lazima kucompare ila you can dare !... Kwakuwa parameter zipo ...You can compare anything of tech running the same operation hata kama zina performance rate tofauti.
 
Hiyo Mi9 se kwanza ni lowest variant kweny Mi 9 series..kwahy mtoe kabsa. Xiaomi atabak unbeatable kweny hizo mid range phones tuu. Tuache kufananisha Xiaomi na simu za maana bhana
Una maana gani mkuu?
 
Kwa wale wazee wa Picha Picha Gcam inatoa picha kali sana hasa za usiku ila tu mitit kuiweka kwenye RN6 PRO Japo watu RN7 inakubali bila ya process nyingi.
 
Kwa wale wazee wa Picha Picha Gcam inatoa picha kali sana hasa za usiku ila tu mitit kuiweka kwenye RN6 PRO Japo watu RN7 inakubali bila ya process nyingi.
Ngoja tu tuamie Mi A2 yenye Stock Android. Hizi za ku download majanga tu! [emoji41]
 
Kwa wazoefu simu tofauti hizi brand zilizozoeleka: Vipi kuhusu hizi brand kuhusu ubora au nazo ni jamii ya TECNO
1.VIVO
2.ZTE NUBIA
3.MEIZU
 
Sio lazima kucompare ila you can dare !... Kwakuwa parameter zipo ...You can compare anything of tech running the same operation hata kama zina performance rate tofauti.
Mkuu mimi sikuelewi kabsa. Kuna baadhi ya simu mim ntaendelea kuzingangania tuu hata niambiwe vpi. Simu ambayo staki kuishika ni Iphone tu basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…