Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wakuu nilikuwa nalipia kununua simu ya Redmi 7 Aliexpress, nimetumia M master card. Sasa wakati nalipia Mara ya kwanza niliambiwa salio, hivyo nikaongeza hela kiasi Cha Kama elfu 15. Wakati na lipia nilivyo bonyeza pay now baada ya kujaza taarifa za kadi Yangu. Imeload kidogo halafu ika kata na kuandika UNPAID. Je Nini Ni tatizo maana nimejaribu Mara kadhaa ikifika hapo tuu ina load kwa mda halafu inarudi kwenye order na kuandika UNPAID.

Wenye uzoefu. Order Yangu ina cost 122.63.$ account ina laki 3 na 8000.
 
Wakuu nilikuwa nalipia kununua simu ya Redmi 7 Aliexpress, nimetumia M master card. Sasa wakati nalipia Mara ya kwanza nilambiwa salio halitisho. Nikaongeza hela kiasi Cha Kama elfu 15. Wakati na lipia nilivyo bonyeza pay now baada ya kujaza taarifa za kadi Yangu. Imeload kidogo halafu ika kata na kuandika UNPAID. Je Nini Ni tatizo maana nimejaribu Mara kadhaa ikifika hapo tuu ina load kwa mda halafu inarudi kwenye order na kuandika UNPAID.
Wenye uzoefu. Order Yangu ina cost 122.63.$ account ina laki 3 na 8000.
Swali zuri, ngoja tusubr elimu juu ya hili jambo
 
Wakuu nilikuwa nalipia kununua simu ya Redmi 7 Aliexpress, nimetumia M master card. Sasa wakati nalipia Mara ya kwanza niliambiwa salio, hivyo nikaongeza hela kiasi Cha Kama elfu 15. Wakati na lipia nilivyo bonyeza pay now baada ya kujaza taarifa za kadi Yangu. Imeload kidogo halafu ika kata na kuandika UNPAID. Je Nini Ni tatizo maana nimejaribu Mara kadhaa ikifika hapo tuu ina load kwa mda halafu inarudi kwenye order na kuandika UNPAID.

Wenye uzoefu. Order Yangu ina cost 122.63.$ account ina laki 3 na 8000.

Kama ulikuwa unatumia app ya AliExpress kufanya huo muamala, mara nyingi huwa kuna bugs. Jaribu kulipia tena kwa kutumia AliExpress web.
 
Hiv ni benk gani ipo fresh kwa online purchase? Nimetesekea Crdb hadi nimekata tamaaa
BancABC wapo vizuri sana! kupata ile Prepaid Visa Card ya TZS ni elfu kumi na tano na ya USD ni dollar 20 pekee. Pia jaribu Exim Bank wanatoa prepaid card ndani ya muda mfupi kwa gharama ya elfu kumi tu.
 
Equity ya Moshi hapa nao ni wale wale tuu, kufatana sana. Labda nijaribu Exim
Katika bank zenye customer service nzuri equity ni mojawapo boss, sasa sijui huko shida ni nini? Au wewe utakuwa haujakidhi vigezo vya kufungua ac? Maana wao wanachohitaji ni ID yako tu!
 
Katika bank zenye customer service nzuri equity ni mojawapo boss, sasa sijui huko shida ni nini? Au wewe utakuwa haujakidhi vigezo vya kufungua ac? Maana wao wanachohitaji ni ID yako tu!
Kuna siku buddy alienda kufatlia ila akawa anasumbuka kwa ile card kua accessible na online purchase mana iliwezeshwa na haikufanya kazi, hivyo alienda sana pale ofcn kwao. Ni mwaka jana July, ntaenda na mimi wanifanyie huo mchakato
 
Kuna siku buddy alienda kufatlia ila akawa anasumbuka kwa ile card kua accessible na online purchase mana iliwezeshwa na haikufanya kazi, hivyo alienda sana pale ofcn kwao. Ni mwaka jana July, ntaenda na mimi wanifanyie huo mchakato
Kadi za equity zinakuwa tayari zina access ya kufanya online payment, sema wanaweka limit ya TZS 270k. Unachotakiwa ni kuomba fomu ya kuongeza kiwango ambacho unataka wewe mwenyewe kufanya payment mtandaoni.
 
April Antutu Ranking
IMG_201905140_043540.jpeg
 
Back
Top Bottom