Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Na bahati mbaya inaweza kutokea kwangu au kwako so simply nunua tu. Sasa tusiponunua wale wafanyabiashara wa k/koo watamuuzia nani?
Kodi sio kiile Boss ila ni bahati mbaya tu wengi wanaagiza humu wakatwi kodi boss uoga wako tu.
 
Hapo bado hujapiga kwenye night sight ndio balaa lingeibuka humu,au ungempiga mtu sasa..gcam shidaah
Hehe..yan mkuu kwa kusifia hiki kitu hujambo..bado naendelea kujipanga kikamilifu nibebe google pixel 3xl potelea mbali..hehe nijikaze kiume zaid ninyanyue google pixel 4XL inayotoka mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…