Unatumia gcam version ipi mkuu?xiaomi ni noma sana. Now naenjoy tuuh dual app and hii feature ya second space ndo komesha ya michepuko. Nimeinstall Gcam ila naona iko slow kurespond when taking a photo. Wadau naombeni stable version ya Mi Redmi Note 7 pro.View attachment 1150042
seller ni nani? maana tujue na wauzaji wazuri
Playstore unaistall
Vp ina shida gani nyengine?
Hii simu nilimwagiza mtu uchina nadhani wiki ijayo ntaipokea,Xiaomi Mi 9se 6gb/128 gb imenigharimu kama 7.5kwewe ni kama mimi sipendi masimu makubwa ila kwa xiaomi simu ndogo kabisa ni mi 9 se
Natumia hio as seen in the picture mkuu ila hii ya sasa imetulia kuliko niliyokuwa nayo mwanzo. kama kuna better version zaidi, please advise.Unatumia gcam version ipi mkuu?
Kaka kama unaweza nipe connection zake nwagize headphone mkuu nazihitaji kuagiza online naona mda ni mrefu sanaHii simu nilimwagiza mtu uchina nadhani wiki ijayo ntaipokea,Xiaomi Mi 9se 6gb/128 gb imenigharimu kama 7.5k
Natumia hio as seen in the picture mkuu ila hii ya sasa imetulia kuliko niliyokuwa nayo mwanzo. kama kuna better version zaidi, please advise.View attachment 1154764
xiaomi ni noma sana. Now naenjoy tuuh dual app and hii feature ya second space ndo komesha ya michepuko. Nimeinstall Gcam ila naona iko slow kurespond when taking a photo. Wadau naombeni stable version ya Mi Redmi Note 7 pro.View attachment 1150042
Hahaaa wakuu mmetishaDark mode ndio ugonjwa wangu
Mzee umenivungia bado unajua kule kwenye uzi wa GCAM unafeli wapi boss😀😀 kunita tu.Hahaaa wakuu mmetisha
Mkuu sinimeshamaliza kesi hiyo auMzee umenivungia bado unajua kule kwenye uzi wa GCAM unafeli wapi boss😀😀 kunita tu.
Bado mkuu ngoma imekataa inakuwa tu kweusi ti ukifungua app.Mkuu sinimeshamaliza kesi hiyo au
Kaka kwangu mie inapiga inshu ni kwenye video ndio inazinguaBado mkuu ngoma imekataa inakuwa tu kweusi ti ukifungua app.
Samsung hizo kaanza kutumia wachina washatumia muda, kuhusu stock Android (Android one) Mi A series ndo wanatumia hizo, hawapo kwenye MIUI yao kwa series hiyoSamsung display..kama na stock android hiv
RB772262827SG msaada wakuu niliagiza mzigo huo nikitrack inasema delivery failed shida ni nini alliexpress nmeweka box number la ofisi nilipo by the way nipo LINDI
shukrani mkuu nimeenda posta nimepata mzigo mwingine ambao nao pia niliagiza huu bado nitaenda tena j3View attachment 1156299
Mzigo ulishafika tangu Tar 10,July na ikaonekana hukwenda kuufata sasa je umeenda kwenye Box la ofisi kuna kikadi huwekwa humo omba funguo au ulizia hapo Masijara,pia nenda POSTA kawaelezea wata Track na kukupa majibu na kama mzigo umerudishwa ulipotoka utawasiliana na Seller wako atakutumia tena au atafanya refund.
Mie nipo nasikilizia mkuu kuna mizigo nimeagiza inaniuma kichwa sana nasubiri ila nw imekaa kimya sana aiseeshukrani mkuu nimeenda posta nimepata mzigo mwingine ambao nao pia niliagiza huu bado nitaenda tena j3
RB772262827SG msaada wakuu niliagiza mzigo huo nikitrack inasema delivery failed shida ni nini alliexpress nmeweka box number la ofisi nilipo by the way nipo LINDI