Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Hatimaye safari ya bwana Ngariba imeleta mafanikio na mapinduzi mengine kwangu ngosha mie .Ni beard treamer ya ukweli na earphone Kali ,hakika xiaomi wanajua
 

Attachments

  • IMG-20190722-WA0001.jpg
    IMG-20190722-WA0001.jpg
    66.5 KB · Views: 23
Usipende kuweka track number ya mzigo hadharani. Kama hapa nishajua jina lako kwa kifupi ni YLM
Zamani Tracking zilikuwa hazina noma ila tangu Global post waboreshe mifumo yao kwa lengo la kupunguza udanganyifu, sasa kila kitu kinakuwa hadharani maana ukichukua mzigo taarifa zinakuwa updated kwenye tracking no kwamba mzigo umechukuliwa na fulani siku fulani na saa fulani.
 
Mr mobile ,nakupa kibali rasmi utengeneze group ya telegram nw special Kwa ajili ya watumiaji wa xiaomi products halafu uweke link hapa watu tujiunge moja kwa moja
 
natumia red me note 7 pro....inanizumbua sana kuunga mobile internet, ila kwa wifi napata vzuri kbisa.... Nimebadili apn zote nk lakini sijafanikiwa naomba msaada wakuu
 
Back
Top Bottom