Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
-
- #3,221
Text bossNimeagiza hii kwa majaribio
Hivi posta wanakupigia au kukutumia Text mzigo ukifika,maana kazini kuna kelele mda wote.View attachment 1162236
Tsh ngapi hiyo?Machafuko mengine ya mchina kutoka ughaibuni .hahaaaaaaaaa
Ahaa ahsante MkuuText boss
Sio mda wote wata kusmsNimeagiza hii kwa majaribio
Hivi posta wanakupigia au kukutumia Text mzigo ukifika,maana kazini kuna kelele mda wote.View attachment 1162236
Ila usisubiri wakutext, we cheza na tracking number then unawaibukia baada ya siku mbili(za kazi) tangu mzigo ufikeAhaa ahsante Mkuu
Hawana akili na bora iwaache tu mzeeHivi kwanini hawa kina tigo wasiingie makubaliano na xiaomi kutuletea hizi simu za kijanja badala yake wanawakumbatia tecno wherever?
Kijana hawa watanzania wengi wao hawana roho kama za msukuma mie ngosha ,Chief Mkwawa na wengine.Hivi kwanini hawa kina tigo wasiingie makubaliano na xiaomi kutuletea hizi simu za kijanja badala yake wanawakumbatia tecno wherever?
Sahihi maana anaweza kukaa hata mwezi kusubiri hiyo smsSio mda wote wata kusms
Mimi wakiwah ni sms mara 1 tu
Zilizobak zote ikawa hadi niende nakuta mzgo ushafka
So kikubwa track mzgo wako tu,,ukifka local post nenda
Sahihi maana anaweza kukaa hata mwezi kusubiri hiyo sms
Kijana hawa watanzania wengi wao hawana roho kama za msukuma mie ngosha ,Chief Mkwawa na wengine.
Mimi sio mjuzi wa tekinolojia ila kitu kikiwa kizuri najua .Iko hivi nilipoona tu kua xiaomi ni wazuri nikafungua uzi.faida ya huu uzi ni kubwa na kila mtumiaji wa xiaomi anajivunia uzi huu.
Leo hii ukifanya research utabaini 90 perc ya watumishi wa tigo hawatumii ni tekno hiyo.Wanatumia brand zingine kali tu .
Kizuri kuleni na wenzenu .Tigo leteni simu nzuri tena muziuze kwa mfumo wa malipo ya awamu awamu .
Tchao
natumia red me note 7 pro....inanizumbua sana kuunga mobile internet, ila kwa wifi napata vzuri kbisa.... Nimebadili apn zote nk lakini sijafanikiwa naomba msaada wakuu
Kuna miaka ya nyuma nilipewa zawadi toleo fulani la ZTE Blade kitu kilikuwa Bomba kimuonekano ila ilikuwa I nasoma 2g tu kwa maana haikuwa na band zetu hizi za 3g so ikabidi niiyeyushe tu kwa hasara.Hiyo bado haijaingia sokoni rasmi, kuwa mpole
Mwambie aje achukue laki na redmi 7 mpya kwani kuunga wifi kitu ganibwanaKuna miaka ya nyuma nilipewa zawadi toleo fulani la ZTE Blade kitu kilikuwa Bomba kimuonekano ila ilikuwa I nasoma 2g tu kwa maana haikuwa na band zetu hizi za 3g so ikabidi niiyeyushe tu kwa hasara.
Ila xiaomi sidhani kama tatizo litakuwa kama hili.
Labda mleta shida mwenyewe ndio mawenge.
Mimi nadhani malengo ya kampuni yenyewe, wao walianza kuuza through online, kwa sasa ndio wameanza kufungua Physical store baadhi ya nchi, natumai watafika nchini siku moja, maana kampuni ya Xiaomi inakuwa kwa kasi ya kiwango cha SGRHivi kwanini hawa kina tigo wasiingie makubaliano na xiaomi kutuletea hizi simu za kijanja badala yake wanawakumbatia tecno wherever?
Ahaa sawa sawa MkuuIla usisubiri wakutext, we cheza na tracking number then unawaibukia baada ya siku mbili(za kazi) tangu mzigo ufike