Hapa Mifa ndani ya nyumba. Siku 10 tuView attachment 1166589
Naona pia kuna Mi A3 hii vipi boss wangu.
Njia gani ya usafir ulitumia kwa siku 10 hizoHapa Mifa ndani ya nyumba. Siku 10 tuView attachment 1166589
Msaada kwa wataalamu kati ya Redmi Note 7 na Redmi Note 7 Pro ipi unaweza kuitumia pasipo usumbufu kabisa ukiwa Bongo ?
Ndio nn hiko kaka fafanua nasi tujue dunia pana hii siku hiziHapa Mifa ndani ya nyumba. Siku 10 tuView attachment 1166589
Kina Bass la kutetemesha moyo??Hapa Mifa ndani ya nyumba. Siku 10 tuView attachment 1166589
Ni jamii ya kina JBL na Ancer sound coreNdio nn hiko kaka fafanua nasi tujue dunia pana hii siku hizi
Mkuu hiyo Mi8 ntaipata Kwa ngapi hapa bongo au ukiniagizia online. Vipi redmi note 7 ntapata Kwa ngapiYep! Karibu ulimwengu wa Xiaomi yapo mengi ya kuyafahamu na kujifunza kuhusu hii brand inayochipukia kwa kasi. Na kama unakumbuka mara ya kwanza kabisa hapa jukwaani wakati unataka kununua simu nilikushauri Pocophone F1 by Xiaomi ambayo ni high-end inayouzwa kwa bei himilifu ukilinganisha na high-end nyingine za Xiaomi.
Ukipata jbl inakua balaaaNi jamii ya kina JBL na Ancer sound core
Mi 8 kwa Bongo sijui ni bei gani, pia online kuzipata ni shida kidogo kwa sasa, labda upate mtu kutoka China su India akuchukulie kwenye Mi Store.Mkuu hiyo Mi8 ntaipata Kwa ngapi hapa bongo au ukiniagizia online. Vipi redmi note 7 ntapata Kwa ngapi
Wakuu watu wa posta wanazingua yaani mzigo wangu unaonesha utumwe Zanzibar, wao wameupeleka Arusha. Nimeenda posta kucheki mzigo wameniambia mbona mzigo umetumwa Arusha. Pia nimethibitisha Kwa kutumia website ya posta.
Je mzigo wangu naweza kuupata vipi usije ibiwa na nikipata hasara.
Mambo yamebadilika siku hizi!!!!Kama siku 10 zimepita bila update piga simu posta kuu Arusha uwaeleze kuhusu tatizo hilo kama mzigo bado upo kwao watakupa maelezo ama utaratibu.
Mbona kama sijakusoma?Mambo yamebadilika siku hizi!!!!
Mi kuna mzigo nilipewa then kile kikaratasi cha kusaini sijui kilipotea au ilikuwaje.
Hazikupita wiki 2 nilikuwa natafutwa na posta masta ambaye alikuwa likizo kipindi hicho naulizwa kama kuna parcel imepotea?
Nilijibu No!! Basi akawa anahaha mama Yule kwamba tuonane nikasaini ataja fukuzwa kazi Kwa upotevu so ikabidi atoke likizo tukaonana posta pale nikaanguka signature kwenye parcel iliyokuwa na utata akanipa buku 10 ya usumbufu ila sikuchukua.
So we fungua dispute jamaa watajambishwa na Global post coz mzigo upo mikononi kwao, mbona watakupigia simu wenyewe ukachukue furushi lako.
note 7 pro kwani wana global ROM? nachojua wana chinese version na indian only
ziko designed kwa masoko ya kule
hivo kuipata ni umuagizie mtu ambaye yupo kule akununue
mi yangu nimenunua china
Okay, ilichukua muda gani kuupata?
Aliexpress standard shipping. Iyo ni fastaHaha hivi inapiga?
Iko kispika mkuu. Kitoto kidogo mziki meneneNjia gani ya usafir ulitumia kwa siku 10 hizo
Kwa wasani ndani inatosha kulinganisha na bei ake.Ndio nn hiko kaka fafanua nasi tujue dunia pana hii siku hizi
Kina Bass la kutetemesha moyo??
Mifa bei zao cheap sana aiseee
Kaka nimekutwa n tatizo na sijui jinsi ya kulitatua.nina earphone za Xiaomi amabzo n mi sports Bluetooth earphone sasa kila nikiconnect na redmi 7 yangu zinafika,awali ilikua fresh tu but now hakUkipata jbl inakua balaaa
Linaendaje mkuuuAliexpress standard shipping. Iyo ni fastaIko kispika mkuu. Kitoto kidogo mziki meneneKwa wasani ndani inatosha kulinganisha na bei ake.
Mkuu uliza tena swali vizur,Kaka nimekutwa n tatizo na sijui jinsi ya kulitatua.nina earphone za Xiaomi amabzo n mi sports Bluetooth earphone sasa kila nikiconnect na redmi 7 yangu zinafika,awali ilikua fresh tu but now hak
Linaendaje mkuuu
Nimelisolve jana kupitia kwa maelezo ya Chief mkwawaMkuu uliza tena swali vizur,