Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Shukrani, mzigo unapokuwa held by customs unatakiwa kuanzia ofisi gani ? Au utaratibu ukoje ?
Kwa kawaida mizigo yangu ya kodi nina subiri hadi wa niite wenyewe. Sana sana mizigo yangu inakuwa "held by customs" kwa siku zisizo pungua 4, then "released from customs" message inaingia nikachukue mzigo..


Kwani tracking number yako inaanza na RF, RV au RB?
 
Inaanza na RF.
 
Toa trick fujue tunafanyaje na sie awam ingine
 
Toa trick fujue tunafanyaje na sie awam ingine
Hakuna trick hapa ni bahati yako, mzigo ukija kwa Singapore post na tracking ya RB ni nadra sana utakuta kodi lakini mzigo wa RF, kwa Singapore post kwa mimi sijawahi kuondoka salama au mzigo wenye kitu cha nguo, viatu, au begi lazima kodi upigwe.
 
Hakuna trick hapa ni bahati yako, mzigo ukija kwa Singapore post na tracking ya RB ni nadra sana utakuta kodi lakini mzigo wa RF, kwa Singapore post kwa mimi sijawahi kuondoka salama au mzigo wenye kitu cha nguo, viatu, au begi lazima kodi upigwe.
Umetumwa kwa Singapore Post. Kwa hizo percent ulizotaja hapo mpaka nimeshaanza kujuta kwa nini niliagiza mzigo kabla hata sijaupokea. Kama earphone za 170K unasema ulipigwa karibia nusu ya gharama za simu sasa mzigo wa 400K si utajikuta unakufikia mkononi kwa takribani 700K.
 
Usife moyo kwanza; 1. subiria kwanza message kutoka watu wa posta (kama uliweka namba yako ya simu aliexpress) ikija kama FGN sherekea, ikija kama RDP ndio usikitike kidogo, 2. Makadirio liyoyaweka yanawezeka kuwa tofauti kwenye bidhaa kama simu (subiria watu waliowahi chajiwa kodi kwenye simu wakupe breakdown nzuri) 3. Muuzaji haandiki bei halisi uliyonunulia sasa pale posta ni ujanja wako tu either useme ukweli au utetee bei iliyoandikwa kwenye package na seller.
 
Mzigo unakuwa bado haujaupata. Unajuaje bei aliyoandika seller kwenye package yako ?
 
Hakuna trick hapa ni bahati yako, mzigo ukija kwa Singapore post na tracking ya RB ni nadra sana utakuta kodi lakini mzigo wa RF, kwa Singapore post kwa mimi sijawahi kuondoka salama au mzigo wenye kitu cha nguo, viatu, au begi lazima kodi upigwe.
Kama ulivyosema ni bahati maana kwangu ishanitokea kama mara tatu hivi mizigo ya RB kulipia Kodi. Hapa nataka niagize Mi9t Pro nikifikiria kodi naishiwa nguvu! Kwa simu huwa wanachaji 21%
 
Kama ulivyosema ni bahati maana kwangu ishanitokea kama mara tatu hivi mizigo ya RB kulipia Kodi. Hapa nataka niagize Mi9t Pro nikifikiria kodi naishiwa nguvu!Kwa simu huwa wanachaji 21%
Duh. Hapa sasa sijui unakuwa umeokoa nini. Maana ni bora tu ununue simu Tz.
 
Kama ulivyosema ni bahati maana kwangu ishanitokea kama mara tatu hivi mizigo ya RB kulipia Kodi. Hapa nataka niagize Mi9t Pro nikifikiria kodi naishiwa nguvu!Kwa simu huwa wanachaji 21%
Jaribu kumwambia seller asi declare real price ya hicho kitu may be inaweza saidia, maana hata mimi nilishapigwa kodi. Seller aliandika mbei wote kwenye package inawezekana ndio ilikuwa sababu.
 
Jaribu kumwambia seller asi declare real price ya hicho kitu may be inaweza saidia, maana hata mimi nilishapigwa kodi. Seller aliandika mbei wote kwenye package inawezekana ndio ilikuwa sababu.
Sellers hakuandika Bei kubwa, aliweka ndogo tu. Nadhani siku wakikuotea tu umekwisha.
Kama alivyosema jamaa hapo juu,ni Bahati tu!
 
Kama ulivyosema ni bahati maana kwangu ishanitokea kama mara tatu hivi mizigo ya RB kulipia Kodi. Hapa nataka niagize Mi9t Pro nikifikiria kodi naishiwa nguvu!Kwa simu huwa wanachaji 21%
21% dah! Unaweza kunipa breakdown vizuri kama bado unayo ile karatasi... Maana hata mimi nilitaka kuagiza Mi9t pro lakini nilivyofikiria bei + kodi cost nikaona itafika S10.. Nikaachana nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…