Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Shukrani, mzigo unapokuwa held by customs unatakiwa kuanzia ofisi gani ? Au utaratibu ukoje ?
Kwa kawaida mizigo yangu ya kodi nina subiri hadi wa niite wenyewe. Sana sana mizigo yangu inakuwa "held by customs" kwa siku zisizo pungua 4, then "released from customs" message inaingia nikachukue mzigo..


Kwani tracking number yako inaanza na RF, RV au RB?
 
Kwa kawaida mizigo yangu ya kodi nina subiri hadi wa niite wenyewe. Sana sana mizigo yangu inakuwa "held by customs" kwa siku zisizo pungua 4, then "released from customs" message inaingia nikachukue mzigo..


Kwani tracking number yako inaanza na RF, RV au RB?
Inaanza na RF.
 
Toa trick fujue tunafanyaje na sie awam ingine
Hawa Tra wa posta ni pasua kichwa sema ukweli maana kuna siku nilikuwa na mizigo mitatu posta nvme SSD 1tb ya Samsung bei 600k hivi, Router 4g ya 100k na headphones za Edifier 170k. Mzigo wa kwanza na wa pili nikapokea bila shida message kwenye simu ikija (FGN hapa unajua hamna kodi) .. Watatu ukaja message RDP nikajua hapa kodi. Walinigonga karibia nusu ya bei ya manunuzi ya hizo headphones:

Import duty 25%
Excise duty 0%
Customs processing 0.6%
Railway Development 1.5%
VAT 18%


Kwenye Vat wanachukua bei ya bidhaa + import duty = total wanazidisha na hiyo 18%

Mahesabu haya hubadilika, sina uhakika simu wana charge vipi, maana kwa nguo wanacharge zaidi n.k

Pia usiogope sana, kuna mizigo yangu mingine ilishikwa customs lakini nikaipata bila kodi.
 
Toa trick fujue tunafanyaje na sie awam ingine
Hakuna trick hapa ni bahati yako, mzigo ukija kwa Singapore post na tracking ya RB ni nadra sana utakuta kodi lakini mzigo wa RF, kwa Singapore post kwa mimi sijawahi kuondoka salama au mzigo wenye kitu cha nguo, viatu, au begi lazima kodi upigwe.
 
Hakuna trick hapa ni bahati yako, mzigo ukija kwa Singapore post na tracking ya RB ni nadra sana utakuta kodi lakini mzigo wa RF, kwa Singapore post kwa mimi sijawahi kuondoka salama au mzigo wenye kitu cha nguo, viatu, au begi lazima kodi upigwe.
Umetumwa kwa Singapore Post. Kwa hizo percent ulizotaja hapo mpaka nimeshaanza kujuta kwa nini niliagiza mzigo kabla hata sijaupokea. Kama earphone za 170K unasema ulipigwa karibia nusu ya gharama za simu sasa mzigo wa 400K si utajikuta unakufikia mkononi kwa takribani 700K.
 
Umetumwa kwa Singapore Post. Kwa hizo percent ulizotaja hapo mpaka nimeshaanza kujuta kwa nini niliagiza mzigo kabla hata sijaupokea. Kama earphone za 170K unasema ulipigwa karibia nusu ya gharama za simu sasa mzigo wa 400K si utajikuta unakufikia mkononi kwa takribani 700K.
Usife moyo kwanza; 1. subiria kwanza message kutoka watu wa posta (kama uliweka namba yako ya simu aliexpress) ikija kama FGN sherekea, ikija kama RDP ndio usikitike kidogo, 2. Makadirio liyoyaweka yanawezeka kuwa tofauti kwenye bidhaa kama simu (subiria watu waliowahi chajiwa kodi kwenye simu wakupe breakdown nzuri) 3. Muuzaji haandiki bei halisi uliyonunulia sasa pale posta ni ujanja wako tu either useme ukweli au utetee bei iliyoandikwa kwenye package na seller.
 
Usife moyo kwanza; 1. subiria kwanza message kutoka watu wa posta (kama uliweka namba yako ya simu aliexpress) ikija kama FGN sherekea, ikija kama RDP ndio usikitike kidogo, 2. Makadirio liyoyaweka yanawezeka kuwa tofauti kwenye bidhaa kama simu (subiria watu waliowahi chajiwa kodi kwenye simu wakupe breakdown nzuri) 3. Muuzaji haandiki bei halisi uliyonunulia sasa pale posta ni ujanja wako tu either useme ukweli au utetee bei iliyoandikwa kwenye package na seller.
Mzigo unakuwa bado haujaupata. Unajuaje bei aliyoandika seller kwenye package yako ?
 
Hakuna trick hapa ni bahati yako, mzigo ukija kwa Singapore post na tracking ya RB ni nadra sana utakuta kodi lakini mzigo wa RF, kwa Singapore post kwa mimi sijawahi kuondoka salama au mzigo wenye kitu cha nguo, viatu, au begi lazima kodi upigwe.
Kama ulivyosema ni bahati maana kwangu ishanitokea kama mara tatu hivi mizigo ya RB kulipia Kodi. Hapa nataka niagize Mi9t Pro nikifikiria kodi naishiwa nguvu!
Umetumwa kwa Singapore Post. Kwa hizo percent ulizotaja hapo mpaka nimeshaanza kujuta kwa nini niliagiza mzigo kabla hata sijaupokea. Kama earphone za 170K unasema ulipigwa karibia nusu ya gharama za simu sasa mzigo wa 400K si utajikuta unakufikia mkononi kwa takribani 700K.
Kwa simu huwa wanachaji 21%
 
Kama ulivyosema ni bahati maana kwangu ishanitokea kama mara tatu hivi mizigo ya RB kulipia Kodi. Hapa nataka niagize Mi9t Pro nikifikiria kodi naishiwa nguvu!Kwa simu huwa wanachaji 21%
Duh. Hapa sasa sijui unakuwa umeokoa nini. Maana ni bora tu ununue simu Tz.
 
Kama ulivyosema ni bahati maana kwangu ishanitokea kama mara tatu hivi mizigo ya RB kulipia Kodi. Hapa nataka niagize Mi9t Pro nikifikiria kodi naishiwa nguvu!Kwa simu huwa wanachaji 21%
Jaribu kumwambia seller asi declare real price ya hicho kitu may be inaweza saidia, maana hata mimi nilishapigwa kodi. Seller aliandika mbei wote kwenye package inawezekana ndio ilikuwa sababu.
 
Jaribu kumwambia seller asi declare real price ya hicho kitu may be inaweza saidia, maana hata mimi nilishapigwa kodi. Seller aliandika mbei wote kwenye package inawezekana ndio ilikuwa sababu.
Sellers hakuandika Bei kubwa, aliweka ndogo tu. Nadhani siku wakikuotea tu umekwisha.
Kama alivyosema jamaa hapo juu,ni Bahati tu!
 
China Post Registered Air mail
Ahsante mkuu! Unamaanisha hii [emoji116]
Screenshot_20190925-160629.jpeg
 
Kama ulivyosema ni bahati maana kwangu ishanitokea kama mara tatu hivi mizigo ya RB kulipia Kodi. Hapa nataka niagize Mi9t Pro nikifikiria kodi naishiwa nguvu!Kwa simu huwa wanachaji 21%
21% dah! Unaweza kunipa breakdown vizuri kama bado unayo ile karatasi... Maana hata mimi nilitaka kuagiza Mi9t pro lakini nilivyofikiria bei + kodi cost nikaona itafika S10.. Nikaachana nayo
 
Back
Top Bottom