Hapana... ni tofauti!Ahsante mkuu! Unamaanisha hii [emoji116]View attachment 1215858
Hapana sinayo,Ila Kuna mdau alishaipostigi humu!21% dah! Unaweza kunipa breakdown vizuri kama bado unayo ile karatasi... Maana hata mimi nilitaka kuagiza Mi9t pro lakini nilivyofikiria bei + kodi cost nikaona itafika S10.. Nikaachana nayo
Vp shipping address yangu inafaa? Nipo Mwanza wilaya ya Nyamagana..Hapana... ni tofauti!
Rudia tena post #3745
Yani mnavyobishana na kujibizana nimecheka mpaka nikajisahau kama hapa niko peke yangu, mmesahau kuwa mi ndo mwenye majibu ya mwisho.Anyway hizi earphone nilizinunua Tsh. 1,400/- kwa hela za bongo garama za usafirishaji mpaka kunifikia ni $4.69 = Tsh. 10,777.62/-Basi mkuu sio kesi NGOJA NIMSUBIRI KAZETELA alete jibu/link [emoji16]
Ukiscan kwa picha zinakuja picha za bidhaa kama 1000 hivi za Earphones hizo ,ntajua ipi ni ipi?,unajua mpaka amenunua/kununuliwa ina maana bidhaa aliichunguza kwa makini.
Humu huwa tunasaidiana kwa kumpa mtu LINK ya Bidhaa husika ndio rahisi zaidi na sio KUSCAN
Anyway Mchana mwema
Kwangu naona ipo sawaVp shipping address yangu inafaa? Nipo Mwanza wilaya ya Nyamagana.. View attachment 1215930
Unashauri tunapofanya manunuzi tuangalie njia ipi mzuri ya kusafirishia mizigo ili track # iwe nje ya RF!?Duh! Mkuu jiandae tu kisaikolojia, kuna chance kubwa message utakayopokea ni ya RDP (namba ya mzigo). Mizigo yangu ya RF haijawahi ni acha salama.
Fafanueni kwa kina hayo maneno rf na mengine piaUnashauri tunapofanya manunuzi tuangalie njia ipi mzuri ya kusafirishia mizigo ili track # iwe nje ya RF!?
hivi ukienda posta wakikwambia mzigo wako is MISSING unachukua hatua ganiNenda posta kafate mzgo wako
hivi ukienda posta wakikwambia mzigo wako is MISSING unachukua hatua gani
Wakuu hii free shipping Iko salama Kweli
Na mzigo unakua na track number?
Mzigo unafika posta pia nikitumia address ya posta?
Me mwenyewe sifahamu mkuuFafanueni kwa kina hayo maneno rf na mengine pia
OK, nimekuwa disappointed sana ndio mzigo wangu wa kwanza kuagiza online nikiwa tz, halafu haujafikaUna request refund tu
Hebu tuone tracking yako inasemaje,ww usiongee na seller..fungua dispute hiyo wakupe refund..mana mzgo haupo mikonon kwakoOK, nimekuwa disappointed sana ndio mzigo wangu wa kwanza kuagiza online nikiwa tz, halafu haujafika
nawasiliana na seller anang'ang'ania mzigo aliutuma, nimeenda posta wananiambia item yangu is missing
Redmi 6 au Redmi Note 6?Nataka kuchukua Xiaomi redmi 6. Mwenye uzoefu na hii kitu anisanue asee
Nenda sehemu ya Open dispute. Jaza zile gaps kisha subiri seller atarusisha tu pesa kama unahitaji pesa au unataka atume tena mzigo.OK, nimekuwa disappointed sana ndio mzigo wangu wa kwanza kuagiza online nikiwa tz, halafu haujafika
nawasiliana na seller anang'ang'ania mzigo aliutuma, nimeenda posta wananiambia item yangu is missing
Ni hii mkuu redmi 7Redmi 6 au Redmi Note 6?
Ipo salama,kuna unayopewa track no na mengine hupewi nahis.. mzgo utafika kweny Address yako hata hyo ya posta