Hii nimeipenda ila kwakuwa ndio ulikuwa unaanza kununua, maana bidhaa 1400, lkn shipping ipo juu zaidi ya bidhaa, ungechagua tu free shipping kwa hiyo bei mkuu.Yani mnavyobishana na kujibizana nimecheka mpaka nikajisahau kama hapa niko peke yangu, mmesahau kuwa mi ndo mwenye majibu ya mwisho.Anyway hizi earphone nilizinunua Tsh. 1,400/- kwa hela za bongo garama za usafirishaji mpaka kunifikia ni $4.69 = Tsh. 10,777.62/-
Mizigo mingine ya free shipping inaenda hadi siku 60. Nyingine hadi unasahau ndio mzigo unafika, niliwahi kukutana na mzigo posta niliagiza ukakaa siku nyingi nika dai dispute nikalipwa nimekaa nimesha sahau nakutana nao posta ndio umefika. [emoji16]Ila si ndo kusubiri si chini ya siku 30?
Kama ni safe Ngoja niagize Maana kuna mzigo shipping ni mara mbili ya bei ya bidhaa
Nikicheki sina haraka nao nini kujitesa
Asante ndugu
Ila si ndo kusubiri si chini ya siku 30?
Kama ni safe Ngoja niagize Maana kuna mzigo shipping ni mara mbili ya bei ya bidhaa
Nikicheki sina haraka nao nini kujitesa
Asante ndugu
Redmi note 7 vs lenovo z6 lite ushauri wenu tafadhali.
Nimeona mkuu shukraniSio lazma. Mfano kuna free shipping ya AliExpress Standard shipping mzgo wiki mbili upo mkononi
Z6 lite nzuri Ila ningekushauri note 7 sababu ya software. Lenovo hua wagumu kusupport cm zao sio kama XiaomiRedmi note 7 vs lenovo z6 lite ushauri wenu tafadhali.
Shukrani kwa ushauri.Z6 lite nzuri Ila ningekushauri note 7 sababu ya software. Lenovo hua wagumu kusupport cm zao sio kama Xiaomi
Singapore post vipi?Njia bora za kutumia ni alliexpress standard shipping na china registered air mail hizo zingine ni kimeo na presha kweli
AliExpress standard shipping ndio wanatumia hiyo Singapore PostSingapore post vipi?
ndio aliexpress standard shiping
Singapore post vipi?
Singapore post vipi?
Polee mkuu.. Singapore post ndio wanyama kwenye shipping...10 dayz tu mzgo uko nyumbani,,alaf AliExpress Standard shipping huwatumia hao Singapore postInatumia muda mrefu sana kuliko hizo mbili afu hata tracking yake inazingua
Naongea by experience mkuu niliagiza mzigo kupitia njia hiyo zimefika siku almost 50Polee mkuu.. Singapore post ndio wanyama kwenye shipping...10 dayz tu mzgo uko nyumbani,,alaf AliExpress Standard shipping huwatumia hao Singapore post
Naongea by experience mkuu niliagiza mzigo kupitia njia hiyo zimefika siku almost 50
Mzigo km simu ikija imepata crack,utaratibu ukoje'?Ndio mana nmeanza kwa kukupa pole mana ulipata experience mbaya
Humu wengi wamepata mizigo yao mapema kwa singerpore post...ikiwemo mimi..ndio shipping carrier wangu mkubwa binafsi