SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,986
- 2,664
Hii nimeipenda ila kwakuwa ndio ulikuwa unaanza kununua, maana bidhaa 1400, lkn shipping ipo juu zaidi ya bidhaa, ungechagua tu free shipping kwa hiyo bei mkuu.Yani mnavyobishana na kujibizana nimecheka mpaka nikajisahau kama hapa niko peke yangu, mmesahau kuwa mi ndo mwenye majibu ya mwisho.Anyway hizi earphone nilizinunua Tsh. 1,400/- kwa hela za bongo garama za usafirishaji mpaka kunifikia ni $4.69 = Tsh. 10,777.62/-