son_of_masia
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 378
- 264
Brand name ni Xiaomi,hzo mi na redmi ni series za simu mara nyingi mi(a2,a3 n.k) huwa high end device na hzo redmi(redmi 4,5,7 n.k) hutoa low end na midrage.Wakuu nahitaji ufafanuzi
Kuna simu huwa inasifiwa sana kwenye huu uzi Je lipi ni jina sahihi la hii simu kati ya haya yafuatayo:
MI, XIAOMI na REDMI
Ahsante kwa kunielewesha mkuuBrand name ni Xiaomi,hzo mi na redmi ni series za simu mara nyingi mi(a2,a3 n.k) huwa high end device na hzo redmi(redmi 4,5,7 n.k) hutoa low end na midrage.
Mmnhuu mkuu, labda kulikuwa na shida somewhere, lakini ukiona mzigo umetumwa kwa Singapore post kuwa na amani ndani ya kuanzia siku 14 kupata mzigo wako.Inatumia muda mrefu sana kuliko hizo mbili afu hata tracking yake inazingua
Hii kitu mkuu uwe mpoleeee, ukiwahi kufika ni bahati huwa inachukua muda...Ndio mzigo wangu wa kwanza juzi ku order $1.37...! Ngoja niskizie.. View attachment 1217159
Gusa hiyo Link hapo [emoji1483] utajionea mwenyewe Note 7 ipo juu zaidi ya Redmi 8A.Habari chief, naomba utufanyie ufafanuzi kati ya redmi 8a na note 7 ipi imeipiku mwenzake kwa vitu vingi, tuchambulie plz kitaaalumu tujue
Redmi 8A vs Redmi Note 7
Gusa hiyo Link hapo [emoji1483] utajionea mwenyewe Note 7 ipo juu zaidi ya Redmi 8A.
Hii Redmi 8A ina uwezo mkubwa wa betri tu. Hivyo itaipita Note 7 kwa ukaaji wa chaji.
[emoji23] [emoji23] Hata miezi ngapi mkuu! Tatizo hakukua na option ya shipping nyingine zaidi ya hiyo na seller bei yake ilkua ndogo ya hicho kifaa...Hii kitu mkuu uwe mpoleeee, ukiwahi kufika ni bahati huwa inachukua muda...
Kama hutojali nipe details ni redmi note 7 ipi (namaanisha yenye snapdragon ipi, 630 au 660) uliichukua na ilikugharimu kiasi gani hadi kukufikia mkononi kwako nitashukuru mkuu
Kilangi masanja
Hapo sababu ya kufanana kwa vitu vingi hizi simu, Redmi 7 imeizidi hii Redmi 8A katika chip, camera japo zote zina pixel za kufanana.Je kati ya redmi 7 na 8a
Ulirudsha hela kwa sela?Mizigo mingine ya free shipping inaenda hadi siku 60. Nyingine hadi unasahau ndio mzigo unafika, niliwahi kukutana na mzigo posta niliagiza ukakaa siku nyingi nika dai dispute nikalipwa nimekaa nimesha sahau nakutana nao posta ndio umefika. [emoji16]
Utapokea mzigo wako mwakani 2020 tena January na ikiwezekana sana ni January mwishoni! Utatafuta hii comment uni-quote!Ndio mzigo wangu wa kwanza juzi ku order $1.37...! Ngoja niskizie.. View attachment 1217159
Saa ingine hayuko huyo singapoo kwenye option ila ASS ndy hao hao maybeNdio mana nmeanza kwa kukupa pole mana ulipata experience mbaya
Humu wengi wamepata mizigo yao mapema kwa singerpore post...ikiwemo mimi..ndio shipping carrier wangu mkubwa binafsi
SikurudishaUlirudsha hela kwa sela?
Huoni kama huo ni utapeliSikurudisha
Naona note 8 iko vizuri na bei poa haizidi 340K
Tatizo ni kununua kitu unasubiri wiki kadhaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Duuh!Utapokea mzigo wako mwakani 2020 tena January na ikiwezekana sana ni January mwishoni! Utatafuta hii comment uni-quote!
Vp hzo camera 4Mi naona note 8 kashindwa kumkalisha note 7