Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Hapo umenena.
Lakn kwann soko lake ni la shida?
La shida soko lipi? Kama ni xiaom sio shida kwani hakujapata Wakala kwa hapa bongo Kenya Zipo sana na Ukweli kama unapenda simu yenye kujitosheleza uhakika xiaomi wapo vizuri kuna kampuni kubwa kama Samsung I phone Huawei nk zimeingia mda kwenye soko letu hapa Tanzania lakini ukionja ladha ya xiaomi brand huko jutia pesa yako hata siku moja
 
Kwenda Kenya ni gharama japo ni muda mfupi unakuwa na chako mkononi.
Ya kuagiza ni nzuri japo wahudumu wa benk walinitahadharisha fedha ikipotea kwenye ac yako usilalamike. Maana inapojiunga Paypal unawapa ruhusa ya kufanya yao. Mh nikasema poa ngoja nifungue ac nyingine kwa ajil ya manunuzi.
Tatizo hatujiamini. Mzigo kukaa njian siku 30-40 mh .
Lakn ingefaa hata boxa( chupi) tuagize nje.......
 
But Jan nataka Ku oder simu 1 itakayokuwa around 40k.
Stak kumrudia Samsung
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…