ShukraniIngia kwenye profile yako ya AliExpress> account>to be shipped , hapo utakuta mzigo uliolipia unaosubiri kusafirishwa na seller
Baade seller Akishaship mzigo utaingia kwenye shipped utaona mzigo ulioship na tracking number(track number inaanza kusoma baada ya siku mbili)
Kuona Mizigo yote uliyoorder ingia Orders
Natumai umenipata kidogo mi mwenyewe sio mzoefu wajuzi watajazia hapo
Mkuu kuhusu kuibiwa pesa zako hilo halipo uwe na amani kabisa.1. Nimejaza sanduku la posts
2. Cjachagua courier Ila niliona wameandika alliexpress standard shipping.
Mkuu unanitisha
Mkuu kuhusu kuibiwa pesa zako hilo halipo uwe na amani kabisa.
Kaa uguli hesabu week kuanzia 3 utapokea mzigo wako kama address ulijaza kikamilifu.
Kumbuka tu uwe na kitambulisho chenye jina sawa na ulilojaza kwenye address huko Aliexpress.
Karibu kwenye Game.
Japo siku hizi kuna makato yasiyo eleweka mzigo ukifika Tz.
Kwanini usichukue redmi note 8 ina rangi nyeupe nyingi na bei zinafanana Mkuu.Hahaaaaa watajua wao nusu baadae haapa najilipua na redmi note 7 rangi white hapa ila ni adimu sana. Nipe store ambayo wanayo kiongozi hasa hii yenye GB 32 nijilipue nasesearch sizipati
Sijakutisha bali ni kujaribu kukupa maexperience.1. Nimejaza sanduku la posts
2. Cjachagua courier Ila niliona wameandika alliexpress standard shipping.
Mkuu unanitisha
Vipi umejiripua nayo?Aliyepost kuhusu UMiDIGi Mungu Ambariki.
Huyu YanWen ni msafirishaji kichomi sanaNaomba Muongozo hapa.
Niliagiza mzigo tangia mwezi wa nane lakini mpaka saiz sijaupokea posta.
Zilipofika siku 48 seller aliextend purhase protection saiz zimebaki siku 29 baada ya kuongeza hiyo purchase protection.
Tracking inasomeka hivo.
Je kuna uwezekano wa kupokea huo mzigo au ndo nimepigwa?View attachment 1227613
Kuna ndugu yangu kaenda USA jana nimemtumia Deatails apatiwe from ALiExpress aniletee nina 230K mkuu. au kuna option nyingine nzuri zaidi kwa hiyo budget? nilikuwa nawazia INfinix Hot 8 na Redmi 8 kabla ya wazo la UMIDIGI halijaja.Vipi umejiripua nayo?
Kama budget ni chini ya laki 2 bora uende huko maana redmi ģo siyo mzuka kabisa.
Kwanini usichukue redmi note 8 ina rangi nyeupe nyingi na bei zinafanana Mkuu.
Kwanini usichukue redmi note 8 ina rangi nyeupe nyingi na bei zinafanana Mkuu.
Vipi umejiripua nayo?
Kama budget ni chini ya laki 2 bora uende huko maana redmi ģo siyo mzuka kabisa.
Model gani hiyo je unaionaje ?Nilishaiagiza hiiView attachment 1234269
Sijakutisha bali ni kujaribu kukupa maexperience.
Hiyo Standard shipping mara nyingi inakuwaga ni singapore post ndiyo Courier walio faster kwa sasa kwa njia ya posta ukiondoa EMS.
Mengine ushajibiwa na wadau
Sijawahi kamanda maana bei zake ni mkasi.Mkuu uliwahi kutumia EMS kusafirisha simu kutoka nje ya nchi?
Pitia reviews za buyers pale AE au Ata Gsmarena then utajua ujiripulie wapi.Aliyewahi kutumia hizi simu tafadhali,vipi ziko vizuri?
Elephone
Homtom
Ouktel
Xgody
Doogee
Blackview
Leagoo
Meizu
Ulefone
Pitia reviews za buyers pale AE au Ata Gsmarena then utajua ujiripulie wapi.
Ila nashauri kama hela ndogo chukua hata redmi 7a