Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Pia kuna jamaa Wanaitwa Mimosa wanatoa Pre paid card kwa gharama ya elfu sitini tu na wamakutumia popote ulipo TZ, zote zinadumu kwa miaka mitatu
Sie wengine tuko mikoan huku tunafanyaje aisee natamani niwe na kadi kabisa ujue hasa hio equity bank
 
Wamenitia hasara hawa voda nilishajikoki mwezi ujao niwe nishaikamata hii simu ila kuweka mateka laki 7 zangu kama walinisaidia kuzitafuta

naona kabisa wanachangia kuushusha huu mzuka wa kumiliki mi 9t
Mkuu achana na hizo za M-PESA,nenda equity Bank unafungue account yako unapatiwa na kadi yako kwa ajili ya kufanya manunuzi mtandaoni.
Gharama haizidi 20k
 
Nitalifanyia kazi hili ila duuh kuishi wilayani huku nako n mtihani sana aisee
 
Mku
Mkuu uenda hiyo mastercard yako umeitumia kwenye kulipia matangazo na hukukamilisha malipo yao so imeweka mzigo umekatwa juu kwa juu
 
Sie wengine tuko mikoan huku tunafanyaje aisee natamani niwe na kadi kabisa ujue hasa hio equity bank
Mkoa gani Mkuu?!

Watumie message kwenye Facebook,wanatumia 'Equity Bank Tanzania' utaelekezwa kila kitu.
Hua wanajibu message na kwa haraka
 
Sikuwahi kufanya muamala huo, na wao walikiri itarudishwa ndani ya masaa 72, kwani ilitolewa kimakosa lakini holaa nikaamua niwaachie tu!
Mku

Mkuu uenda hiyo mastercard yako umeitumia kwenye kulipia matangazo na hukukamilisha malipo yao so imeweka mzigo umekatwa juu kwa juu
 
Mkuu achana na hizo za M-PESA,nenda equity Bank unafungue account yako unapatiwa na kadi yako kwa ajili ya kufanya manunuzi mtandaoni.
Gharama haizidi 20k
Me Mwanza mwaka juzi nilifungua kwa 10k tu Equity Visa Card ndo natumiaga daily kwa manunuzi ya online japokua na MP_MasterCard nayo natumia mara chache sana... Sikuiz hapa Mwanza wanafungua bure tu hizi Equity kwa mawakala wao mtaani... Kikubwa uwe na kitambulisho tu...
 
Ushauri mzuri mkuu sitaishia kuwapigia pekee leo Nilikua kwenye mchakato wa kupata equity Master card
Kesho naenda vodashop
Wanirudishie hela yangu

Baada ya hapo kufanya malipo ni equity Mastercard tu, voda watakuwa wamenikosa hivyo
Mkuu hii pesa ndefu mno nenda kwenye vodashop zao ujue mustakabali wa pesa yako.
 
Mkuu achana na hizo za M-PESA,nenda equity Bank unafungue account yako unapatiwa na kadi yako kwa ajili ya kufanya manunuzi mtandaoni.
Gharama haizidi 20k
Hawa equity huwa wanazingua sana ukiwa refunded hela haiingii moja kwa moja mpaka uwacontact. Sijui kama sikuizi wameacha huu upuuzi. Na pia equity wanacharge hela kubwa kwa dola kuliko crdb.
 
Mkuu nimefanyia kazi ushauri wako
Equity wametengeneza Mastercard kwa haraka mno leoleo nimepata card

Hapa nasubiri voda warudishe hela yangu niihamishie equity bank
Sikuwahi kufanya muamala huo, na wao walikiri itarudishwa ndani ya masaa 72, kwani ilitolewa kimakosa lakini holaa nikaamua niwaachie tu!
 
Mkuu nimefanyia kazi ushauri wako
Equity wametengeneza Mastercard kwa haraka mno leoleo nimepata card

Hapa nasubiri voda warudishe hela yangu niihamishie equity bank
Hongera mkuu! Hawa Voda inabidi wajirekebishe maana si kwa kuizuia pesa yote hiyo.
 
Mkuu nimefanyia kazi ushauri wako
Equity wametengeneza Mastercard kwa haraka mno leoleo nimepata card

Hapa nasubiri voda warudishe hela yangu niihamishie equity bank
Mkuu wakati unasubiri pesa irudi. Fanya tena mchakato hapo equity uongeze kiwango cha malipo ya kufanya miamala online maana kadi zao kiwango cha mwisho ni 250000 kwa siku.
Na wewe naona unataka ufanye muamala wa laki 7 itagoma.

Cc Mr. Mobile
 
Hawa equity huwa wanazingua sana ukiwa refunded hela haiingii moja kwa moja mpaka uwacontact. Sijui kama sikuizi wameacha huu upuuzi. Na pia equity wanacharge hela kubwa kwa dola kuliko crdb.
Bado hali ni hiyohiyo ukipata refund ni lazima ukajaze form kwenye tawi lao.
Charges zao kwa dollar moja ni around 2440 na point huko ( Nahisi ni pamoja transaction fees) sina hakika sana
 
Bado hali ni hiyohiyo ukipata refund ni lazima ukajaze form kwenye tawi lao.
Charges zao kwa dollar moja ni around 2440 na point huko ( Nahisi ni pamoja transaction fees) sina hakika sana
Hawana transaction fee, bali ni exchange rates tu.
 
Sio lazima kujaza form. Mini huwa nawaandikia huduma kwa wateja ukiwa na vielelezo vya muamala wanarudisha pesa yako kwenye akaunti.
Bado hali ni hiyohiyo ukipata refund ni lazima ukajaze form kwenye tawi lao.
Charges zao kwa dollar moja ni around 2440 na point huko ( Nahisi ni pamoja transaction fees) sina hakika sana
 
Yep, kujaza form ya kuongeza kiwango ni lazima mkuu.
Mkuu wakati unasubiri pesa irudi. Fanya tena mchakato hapo equity uongeze kiwango cha malipo ya kufanya miamala online maana kadi zao kiwango cha mwisho ni 250000 kwa siku.
Na wewe naona unataka ufanye muamala wa laki 7 itagoma.

Cc Mr. Mobile
 
Hii sometime inaboa sana. Ila wanadai ni kwa usalama wa pesa zako, kama unataka kadi inayopokea refund direct ipo kadi ya BancABC.
Hawa equity huwa wanazingua sana ukiwa refunded hela haiingii moja kwa moja mpaka uwacontact. Sijui kama sikuizi wameacha huu upuuzi. Na pia equity wanacharge hela kubwa kwa dola kuliko crdb.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…