Mkuu mbona bei iko chini kidogo ina kuwa na storage ngapi ? Pmj na Ram ?Leta tzs 387, 500 ni black color, Ila kufika ni ndani ya wiki tatu, ahsante.
Hii njia nilishawai jaribu....lakini sikufanikiwa mpaka nilipoenda kwenye branch yaoSio lazima kujaza form. Mini huwa nawaandikia huduma kwa wateja ukiwa na vielelezo vya muamala wanarudisha pesa yako kwenye akaunti.
Mkuu wakati unasubiri pesa irudi. Fanya tena mchakato hapo equity uongeze kiwango cha malipo ya kufanya miamala online maana kadi zao kiwango cha mwisho ni 250000 kwa siku.
Na wewe naona unataka ufanye muamala wa laki 7 itagoma.
Cc Mr. Mobile
Equity wazuri sema kwenye issue ya refund. Wasumbufu Sana. Mimi matumi Mpesa MasterCard. Nilitaka kufanya transactions ndio na hamisha mshiko. Nafikiri Mpesa MasterCard ni rahisi zaidi.
Kamanda ni changamoto za kawaida tu hizo.TAREHE 27/10/2019 Siku ya jana nimeweka pesa Toka M-PESA kwenda kwenye MASTERCARD yangu
cha ajabu pesa imetoka kwenye M-PESA ila kwenye Mastercard Haijaingia, na wala Taarifa fupi ya MASTERCARD haisomi matumizi ya hii hela niliyoweka jana
Ila taarifa fupi ya M-PESA inasoma pesa Imetoka kwenda kwenye MASTERCARD Yangu
Kuna mtu amewahi tatizika na hili, na ulipata vipi hela yako
maana voda nimewapigia nao wanashangaa tu, hadi sasa sijasaidiwa, pesa yangu haipo kwenye MASTERCARD wala Kwenye M-Pesa
vodacom-tanzania
3gb kwa 32gbMkuu mbona bei iko chini kidogo ina kuwa na storage ngapi ? Pmj na Ram ?
UBA vp wakuu wako poa?
Kwenye kila online transaction wanakata elfu saba
Makato ya mpesa Master card ni asilimia ngapi. Maana Equity ni kama 8% hiviKamanda ni changamoto za kawaida tu hizo.
Kwangu mpesa master card naona inanirahisishia mambo maana kwenye ili game nilianza na BancABC then equity.
BancABC wana makato yasiyoeleweka na Equity wao shida wanabana refund mpaka mkimbizane mchaka mchaka.
Aidha kuna kipindi nilihamisha pesa toka Tigo pesa kwenda bancabc ikakwama yaani Tigo haipo na BancABC haikuingia na mchakato wa kuirudisha ni Siku 3-7 so kama utatumia hizo bank uwe unadeposit kwenye branch zao.
Refund zao zinachukuwa muda gani?Husijichanganye miamala mikubwa mkuu
Makato ya mpesa Master card ni asilimia ngapi. Maana Equity ni kama 8% hivi
Kamanda ni changamoto za kawaida tu hizo.
Kwangu mpesa master card naona inanirahisishia mambo maana kwenye ili game nilianza na BancABC then equity.
BancABC wana makato yasiyoeleweka na Equity wao shida wanabana refund mpaka mkimbizane mchaka mchaka.
Aidha kuna kipindi nilihamisha pesa toka Tigo pesa kwenda bancabc ikakwama yaani Tigo haipo na BancABC haikuingia na mchakato wa kuirudisha ni Siku 3-7 so kama utatumia hizo bank uwe unadeposit kwenye branch zao.
We inaonekana hata hujaenda sehem, ulikua unazunguka zunguka tu hapa mjiniMkuu nimefanyia kazi ushauri wako
Equity wametengeneza Mastercard kwa haraka mno leoleo nimepata card
Hao Abc hawana matawi ya kutosha!Hii sometime inaboa sana. Ila wanadai ni kwa usalama wa pesa zako, kama unataka kadi inayopokea refund direct ipo kadi ya BancABC.
Yep wapo vizuri, hata kupata kadi yao hakuna usumbufu. Sema hizi bank za kigeni hawana matawi mengi.Hao Abc hawana matawi ya kutosha!
Kama mimi nimepanga nipande Arusha karibun nikaichukue kadi yao kwaajl ya online transactions..hlf hata kwa kuweka via mitandao ya simu iko chap tu
We inaonekana hata hujaenda sehem, ulikua unazunguka zunguka tu hapa mjini
Tangu lin ikwiti wakatoa mastercad?