Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Posta wanaanza kuchagi hela kwa mzigo wenye thamani ya bei gani?
 
Nani alishatumiwa mzigo kutoka Alibaba maana mm supplier wangu ananiambia nitafute shipping agent mwenyewe, sasa nimewapata SILENT OCEAN, GSM CARGO na TEW lkn wananiambia hawabebi simu na battery
 
Simu moja si umwambie atumie DHL au Aramex.
Nani alishatumiwa mzigo kutoka Alibaba maana mm supplier wangu ananiambia nitafute shipping agent mwenyewe, sasa nimewapata SILENT OCEAN, GSM CARGO na TEW lkn wananiambia hawabebi simu na battery
 
Nimepata kampuni ya SILENT OCEAN ,GNM CARGO,TEW

lkn makubaliano yanaendelea vizuri na TEW trading wanasema kwa kila moja ni $11

GNM walisema hizo piece ni chache zinaweza kupotea kwenye cargo
 
Kweli kwa njia ya ndege wamekata lkn wansema ingekuwa smartphone za inbuilt betry wanabeba

Hv battery za ndani kwa ndani na za kutoa kuna utofauti?
Hizo simu itakuwa ni ghali sana kwa njia ya ndege sababu zina lithium battery, tafuta fowarder agent wa njia ya bahari wataleta bila shida
 
Nashindwa kuelewa ni kwanini Xiaomi wamekwama kwenye kioo cha 90hz refresh rate QHD
 
Sorry mkuu usinichoke,
Kama hadi sasa siku kumi zimefika package haijafika wilayan natakiwa kufanyaje?
Kwanza fanya hivi ingia website ya Posta (nimeshindwa kuweka link yao maana wakati nakujibu website haikuwa inafunguka). Pili utaenda sehemu ya domestic parcel tracking then utaweka tracking number yako ulipewa aliexpress, utaona location ya parcel ilipo kwasasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…