BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Mliofungua dispute ilichukua siku ngapi kurudushiwa pesa zenu? Kiwabho kinapungua au kinaongezeka?
Kaa nazo hizo technical boss usimwage mtama humu maana penye mamba kenge na mijusi haikosekani.
Mi nishawadonolea kitambo na wenye kuelewa wameelewa,
Ķudadavua kwa marefu na mapana kutalifanya hili game kuwa gumu zaidi.
Kwa ninavyojua Debit card refund haingii automatically, hadi uwasiliane na ban, watakupa form ya kujaza then watafanya reversal ya huo muamala.Wakuu. Ukiwa umetumia Kadi ya CRDB uka cancel order je hela inarudi automatically?
Inawezekana chief Mkwawa aliwahi nisaidia kwa hioJaman kuna ndugu yangu kaletewe Note 8! Redmi na mchina wanafanya project mmoja huko mkoani. Sasa issue Ile Simu haina playstore, je kuna njia ya kufanya ili apate playstore. Maana kaniambia kachukue Kwa 350k Tu.
pandagichiza naomba nisaidie tafadhali,huko kwenye website hakuna matapeli? na kama wapo nitawajuaje? maana sijawahi fanya manunuzi mtandaoni.Nauliuliza hivi coz nataka nihangaike mwenyewe maana nimepata mashaka na watu ambao nilidhani watanisaidia kuninunulia.Mmoja kasema redmi note 8 mpaka mkononi itanicost 900k na mwingine kasema 597k,wakati nikipitia shuhuda za watu hapa jukwani aliyechukua kwa bei ya juu kabisa ni kama 500k naye ni kwa kuwa tu alikutana na majanga ya TRA kumwambia kodi ni 21% ya buying price.
Nimeenda nimetoka Tsh 88734.72/-, gharama ya simu ilikuwa TSH 421000/-.. kwahyo katika calculation zao wamesema ni 21% ndio tax.
kuna jamaa mwingine yeye ametozwa kama elfu 9 kwa simu ya 19USD.
yani wakijua tu ile ni simu basi lazima wakupige cha juu.
Nimefika pale nikaulizwa hii simu ina bei gani nikasema Tsh 390,000/-(hapa nilidanganya ili nisipigwe kodi kubwa) nikaambiwa lete tuone kwenye purchase history nikafungua akaona ni 175.62USD ikaandikwa kwenye karatasi kisha ikapelekwa OFISI YA TRA, baada ya muda nikaitwa ili nipewe total tax.
Bora hata wewe ulikuta seller kaandika USD 159. Mi ilinikuta nimefika pale nikaulizwa mzigo wako thamani yke ni sh ngapi hapo nishawasiliana na manzi mmoja kutoka Xiaomi Mi store anitumie invoice, kumbe kantumia Invoice kwa ajili ya matumizi ya ofisi. Mzigo ulikuwa ni USD 181. Kuulizwa ikabidi nijiume pale nikataja thamani yake ni 250,000. Nikapigiwa hesabu ya hiyo 250,000. Ambapo nililipa kama 51,000. Kuja kupewa parcel naona seller kaandika USD 40.
Ni nzuri ila nazani wengi si wazoefu wa mediatek ingawa mediatek yake ni ya kibabe na inazidi hata Snapdragon za simu zinazopendwa kama note 7 Pro
Ila cha zaidi kwa wapenzi wa Gcam inakua shida kwa sasa kwenye note 8 pro
Majanga niliyowahi kutana nayo katika kununua bidhaa aliexpress;pandagichiza naomba nisaidie tafadhali,huko kwenye website hakuna matapeli? na kama wapo nitawajuaje? maana sijawahi fanya manunuzi mtandaoni.Nauliuliza hivi coz nataka nihangaike mwenyewe maana nimepata mashaka na watu ambao nilidhani watanisaidia kuninunulia.Mmoja kasema redmi note 8 mpaka mkononi itanicost 900k na mwingine kasema 597k,wakati nikipitia shuhuda za watu hapa jukwani aliyechukua kwa bei ya juu kabisa ni kama 500k naye ni kwa kuwa tu alikutana na majanga ya TRA kumwambia kodi ni 21% ya buying price.
Jinsi ya kuweka Google Play kwenye Simu za XiaomiJaman kuna ndugu yangu kaletewe Note 8! Redmi na mchina wanafanya project mmoja huko mkoani. Sasa issue Ile Simu haina playstore, je kuna njia ya kufanya ili apate playstore. Maana kaniambia kachukue Kwa 350k Tu.
Asante mdogo wangu.Jinsi ya kuweka Google Play kwenye Simu za Xiaomi
Unatakiwa kukubali simu yako ipokee apps kutoka unknown sources, halafu unatakiwa ku install Google services zinazohitajika ili kuifanya simu yako ipokee apps za Google.
●Fungua 'Slettings app'
●Nenda 'Additional settings'
●Fungua 'Privacy'
●Badili kwa kuweka 'Unknown sources'
●Fungua Mi App Store
●Search 'Google'
●Install app ya juu kabisa iliyotokea
●Itakapomaliza ku install ifungue
●Bonyeza duara kubwa la bluu kwenye screen
●Installer itafunguka na itaendelea kufanya installation ya baadhi ya services zinazohitajika: Google services framework, Google Account Manager, Google Play Services, Calendar Sync, Google Contacts Sync, na hatimaye Google Play Store. Fanya ku install kila moja unapoelekezwa
●Punde itakapomalizika ku install Play Store ifungue
●Ingiza anuani yako ya Gmail na password na ukubali permissions
●Google Play sasa imewekwa kwenye simu yako, na unaweza ku install apps kutoka hapa kama vile unavyofanya kwenye simu yoyote.
Courtesy of the Tech AdvisorView attachment 1285334
Ndio ipo unapata playstoreJaman kuna ndugu yangu kaletewe Note 8! Redmi na mchina wanafanya project mmoja huko mkoani. Sasa issue Ile Simu haina playstore, je kuna njia ya kufanya ili apate playstore. Maana kaniambia kachukue Kwa 350k Tu.
China plaza zipo in stockpandagichiza naomba nisaidie tafadhali,huko kwenye website hakuna matapeli? na kama wapo nitawajuaje? maana sijawahi fanya manunuzi mtandaoni.Nauliuliza hivi coz nataka nihangaike mwenyewe maana nimepata mashaka na watu ambao nilidhani watanisaidia kuninunulia.Mmoja kasema redmi note 8 mpaka mkononi itanicost 900k na mwingine kasema 597k,wakati nikipitia shuhuda za watu hapa jukwani aliyechukua kwa bei ya juu kabisa ni kama 500k naye ni kwa kuwa tu alikutana na majanga ya TRA kumwambia kodi ni 21% ya buying price.
138usdBei ya lenovo mkuu tutajie.