Kama inakupa wakati mgumu kuagiza nipe kazi, mzigo unafika ndani ya wiki mbili tu!Wadau nisaidie jinsi ya kuagiza nataka nichukue note 10 pro nikienda laibaba mambo hayaeleweki
Nishakaribia. Unajua my first Xiaomi Ecosystem Products nilinunua mwaka 2013? Haha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama inakupa wakati mgumu kuagiza nipe kazi, mzigo unafika ndani ya wiki mbili tu!View attachment 1290031View attachment 1290032
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa habahatishiKuanzia Siku ya 9 mzigo unatua dsm, naikubali kazi yako mkuu kwa 99%.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ni fire..... Kaniagizia note 8 imefika kabla hata ya expected delivery date.... Note 4 inapumzika sasa..... View attachment 1290339
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi Note 10 pro 8+256GB 550usd = 1,278,750tzsUtanichaji pesa ngapi mkuu?
duh hapo bado hujaiwekea Google camera inatoa picha clear hivo aisee..big upJamaa ni fire..... Kaniagizia note 8 imefika kabla hata ya expected delivery date.... Note 4 inapumzika sasa..... View attachment 1290339
Sent using Jamii Forums mobile app
duh hapo bado hujaiwekea Google camera inatoa picha clear hivo aisee..big up
Jamaa ni fire..... Kaniagizia note 8 imefika kabla hata ya expected delivery date.... Note 4 inapumzika sasa..... View attachment 1290339
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii ulichukua bei ganiHii kitu haihitaji third party camera app, kwani baada ya kuleta update ya miui 11, stock camera ni [emoji91][emoji91]View attachment 1290690
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia Siku ya 9 mzigo unatua dsm, naikubali kazi yako mkuu kwa 99%.
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma noma Kaka....Hii kitu haihitaji third party camera app, kwani baada ya kuleta update ya miui 11, stock camera ni [emoji91][emoji91]View attachment 1290690
Sent using Jamii Forums mobile app
Redmi Note 8, 4+64GB 395,250tzs. Redmi Note 8, 3+32GB 372,000tzsKaribuni sana na tuelendelee tuupa uhai huu Uzi. Nashawishika kuiacha hii redmi 7 soon nichukue note 8 . Awamu hii pia siagizi mimi.
Mdogo wangu wa Dodoma weka bei hapa za note 8gb 32 au 64 na gharama zako zote tujilipue.
Mkuu hem niambie changamoto gani unakutana nazo kwenye hiyo redmi 7 ?Karibuni sana na tuelendelee tuupa uhai huu Uzi. Nashawishika kuiacha hii redmi 7 soon nichukue note 8 . Awamu hii pia siagizi mimi.
Mdogo wangu wa Dodoma weka bei hapa za note 8gb 32 au 64 na gharama zako zote tujilipue.
Hakuna in general kwa matumizi yangu ni tamaa tu ya kutaka kubadili labda kamera performance sio nzuri sana kwa wapenzi wa mipicha ila iko njema sana tu. Mr mobile mdogo wangu alifanya hio kazi kwa heshima kubwa.Mkuu hem niambie changamoto gani unakutana nazo kwenye hiyo redmi 7 ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzigo huo boss bei yake si pasua kichwa [emoji23][emoji23]Kama inakupa wakati mgumu kuagiza nipe kazi, mzigo unafika ndani ya wiki mbili tu!View attachment 1290031View attachment 1290032
Sent using Jamii Forums mobile app