Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Jamani huyu xiomi Mi store Naona kanitumia mzigo na expectation day ni terehe 15/12 napata wasiwasi aise. Mzigo umeruka tarehe 29/11 naanza kupata Mashaka nae tena. Mwenyewe experience na huyu seller anipe ABC zake aise.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pitia maelezo vizuri nina redmi 7 sio note 7na mdau anaulizia redmi 7vs redmi 8 boss.
Kama ni hizo Redmi 7 Ana Qualcomm SDM632 Snapdragon 632 (14 nm)


Redmi 8 Ana Qualcomm SDM439 Snapdragon 439 (12 nm)
Redmi 7 IPO faster kuliko Redmi 8 ila uzuri wa Redmi 8 ni battery kubwa na Quick charge technology
 
Niliagiza chaja kwa China Mall pale AliExpress nikakoma. Maximum ilikuwa siku 43, mzigo ulifika baada ya siku 60+. Nilijifunza uvumilivu kuanzia hapo.. [emoji3] [emoji3]

Kunguru.
Ungekua na wenge ungefungua dispute


Mi huwa naona mda mwingine kufungua fungua dispute ni kumuharibia tu seller ,yaani ni ka ujinga flani hivi amazing.......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tujifunze uvumilivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaah weweeee kama mzigo mi wa mpunga wa kutosha, uvumilivu weka pembeni mkuu. Utakuja ulie siku moja. Vumilia kwa parcel ndogo ndogo.

SangaweJr
 
Simu kubwa hiyo mkuu kwa ushauri Wangu kama hauna uzoefu ni bora umpe hela Mr. Mobile akuekee dhamana

Posta hawatabiliki likitokea lolote jamaa atawajibika mwenyewe.
Mi mwenyewe nina kaujuzi ila wenge likinipata kwenye mizigo ya hela nyingi, namtupia jamaa ahangaike
Huwa inafika baada ya Muda gani? Na mimi sio mzoefu kwenye biashara ya online.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…