pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Vumilia tuJamani huyu xiomi Mi store Naona kanitumia mzigo na expectation day ni terehe 15/12 napata wasiwasi aise. Mzigo umeruka tarehe 29/11 naanza kupata Mashaka nae tena. Mwenyewe experience na huyu seller anipe ABC zake aise.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mimi huyu jamaa napata message ya canot deliver to Tanzania? au kuna MI Store mwingineVumilia tu
Ni kawaida tu hiyo
DuuhHvi wakuu unaeza kupata update mzigo ukishafika Tz kwa siku za jumamosi na jumapili au ndo siku za kazi tu?
mrmobile
BANGO JEUPE
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu. Tracking information hata wikiendi huwa zina update.Hvi wakuu unaeza kupata update mzigo ukishafika Tz kwa siku za jumamosi na jumapili au ndo siku za kazi tu?
mrmobile
BANGO JEUPE
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado angekupa WI-FE.. [emoji3] [emoji3]
Kunguru.
Hvi wakuu unaeza kupata update mzigo ukishafika Tz kwa siku za jumamosi na jumapili au ndo siku za kazi tu?
mrmobile
BANGO JEUPE
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu kubwa hiyo mkuu kwa ushauri Wangu kama hauna uzoefu ni bora umpe hela Mr. Mobile akuekee dhamana
Posta hawatabiliki likitokea lolote jamaa atawajibika mwenyewe.
Mi mwenyewe nina kaujuzi ila wenge likinipata kwenye mizigo ya hela nyingi, namtupia jamaa ahangaike
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha nimpe jamaa mpunga wote halafu nisubirie mzigo?Simu kubwa hiyo mkuu kwa ushauri Wangu kama hauna uzoefu ni bora umpe hela Mr. Mobile akuekee dhamana
Posta hawatabiliki likitokea lolote jamaa atawajibika mwenyewe.
Mi mwenyewe nina kaujuzi ila wenge likinipata kwenye mizigo ya hela nyingi, namtupia jamaa ahangaike
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha kuna watu humu wanatiaga wenge unaweza ogopa. Ila saizi dawa nishaijua naagiza mzigo wowote saizi nataka nijilipue na mzigo wa mil 1[emoji119][emoji114] posta tutafahamiana tu
Dumelang
jamaa anafikiri kuna mambo ya pay on delivery kama kule kwa wababaishaji wa JumiaInategemea mtakavyokubaliana ndugu
Ila hata Ukiagiza mwenyewe utatoa mpunga wote online
Ila kama hauna haraka anza kuagiza mwenyewe vitu vya hela ndogo upate uzoefu kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa anafikiri kuna mambo ya pay on delivery kama kule kwa wababaishaji wa Jumia
Inaupdate siku zote hata sikukuu ila kuitwa na posta ili ukachukue mzigo ni hadi siku za kazi yaani Jumatatu hadi Ijumaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano nikitaka redmi note 7 ya gb32 na ram 3 global version itagharimu pesa ngapi? Iwe blackKama inakupa wakati mgumu kuagiza nipe kazi, mzigo unafika ndani ya wiki mbili tu!View attachment 1290031View attachment 1290032
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh... Wacha nirudi Equity mdogo mdogo.Dah wadau kama alivosema msau mmoja hapo juu hawa voda mastercard wanaiba pesa. Jamaa aliposema ndio nikaemda kuthibitisha.
Juzi ni unload tsh 5000 kutoka vodacom mastercard kuja m-pesa. Nilipo maliza sikupata msg yeyote kuwa imetoka ama MPesa imepokea, nikaona isiwe tabu nikaachana nayo kwakujua mitandao wenda inazingua.
Saizi niliposoma kwa jamaa hapa naemda kuangalia salio, ile 5000 ilitoka na MPesa haikuingia na salio ni pungufu. Naangalia mini-statement inasoma nilitoa elfu 5 kwenda Mpesa. Transaction zangu za Mpesa hazina hio kumbukumbu na wala Pesa haikuingia.
Tushavamiwa na na Janga huku Mpesa mastercard. Naona tutafute chimbo jipya
Dumelang