Ungeanzisha la telegram bora hata new joiners wanazikuta previous messages! Lakini WhatsApp [emoji706][emoji706]Invitation à un groupe WhatsApp tukutane hapa Xiaomi users kwa wanaotaka group yetu ya wasap hii
Ni wazo zuri pia...Ungeanzisha la telegram bora hata new joiners wanazikuta previous messages! Lakini WhatsApp [emoji706][emoji706]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri nawapeleka huko soontuUngeanzisha la telegram bora hata new joiners wanazikuta previous messages! Lakini WhatsApp [emoji706][emoji706]
Sent using Jamii Forums mobile app
Group iko tayari kuweka link kwa hapa ndio mtihani siwezi nisaidie kunielekeza nisaidie na wengine.
jamaa anafikiri kuna mambo ya pay on delivery kama kule kwa wababaishaji wa Jumia
Kamanda SPYMATE ndiyo aliripoti hii Issue kwa Mara ya kwanza.Dah wadau kama alivosema msau mmoja hapo juu hawa voda mastercard wanaiba pesa. Jamaa aliposema ndio nikaemda kuthibitisha.
Juzi ni unload tsh 5000 kutoka vodacom mastercard kuja m-pesa. Nilipo maliza sikupata msg yeyote kuwa imetoka ama MPesa imepokea, nikaona isiwe tabu nikaachana nayo kwakujua mitandao wenda inazingua.
Saizi niliposoma kwa jamaa hapa naemda kuangalia salio, ile 5000 ilitoka na MPesa haikuingia na salio ni pungufu. Naangalia mini-statement inasoma nilitoa elfu 5 kwenda Mpesa. Transaction zangu za Mpesa hazina hio kumbukumbu na wala Pesa haikuingia.
Tushavamiwa na na Janga huku Mpesa mastercard. Naona tutafute chimbo jipya
Dumelang
Hapo inamaanisha estimation time imefika ukingoni so Kama hujapata parcel yako ni juu yako kuendelea kusubiri wiki au mwezi mwingine au open dispute Kama mkwanja uliotoa ni wa maana.Hii maanake nini? Sijaupata mzigo lkn traking info ipo hiviView attachment 1293408
Sent using Jamii Forums mobile app
hata mimi nimepata tatizo kama hilo..majuzi nilitoa 16000/= toka mpesa mastercard kwenda Mpesa lakin zimepita siku tatu pesa haijaingia kwenye MpesaKamanda SPYMATE ndiyo aliripoti hii Issue kwa Mara ya kwanza.
Hata Mimi huo upepo ulinipitia nikasema siibiwi kifala hivi!!
Niliwaibukia Voda shop pale China plaza nikawaona wanaruka ruka tu hawajui walifanyalo.
Ikabidi niende Mlimani City ndiyo wakasema kuwa system yao inashida So Ombi litafanyiwa kazi na pesa zitarudi baada ya 72hrs.
Ila ziliingia kwenye card baada ya 24 hrs.
Nilichogundua ni kwamba siyo Voda shop zote wana weledi na haya mambo pia ukipotezea pesa hazirudi zenyewe!!
Kuwasaidia wale wasio na mda wa kwenda Voda shop hiyo hapo link ya whatsap ya Voda watashughulikia ombi Kwa kupeleka idara husika.
WhatsApp Partager sur WhatsApp
Hapo inamaanisha estimation time imefika ukingoni so Kama hujapata parcel yako ni juu yako kuendelea kusubiri wiki au mwezi mwingine au open dispute Kama mkwanja uliotoa ni wa maana.
Hiyo 4pX Singapore post OM pro tulishaiongelea huko nyuma ni Kama China post small packet plus unawatumia tu pale unapokuwa Huna presha au Huna uharaka wa kupokea mzigo hivi karibuni
Hii maanake nini? Sijaupata mzigo lkn traking info ipo hiviView attachment 1293408
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamia AirtelHapo kilichobaki ni kuwasusia huduma zao na kurudi Bancabc na Equity maana imeshakuwa shida sasa
Je ukitumia tracking zingine kama PARCEL, 24 TRACK inakionyesha nn? Kama mizigo imeondoka aiku nyingi endelea kusubiria ila kama mzigo bado ipo china open diapute kudai hela zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijachek nhoja nijaribu kichek, mi nimeshtushwa na hiyo tracking kuonyesha kitu kimefika wakati bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuuuh...Hawa posta wanafanya kazi kwa mazoea,leo jamaa moja kanipigia simu kaniambia kuna mzigo wako nimeletewa na watu wa posta na nimesaini document lln kuja kuangalia syo yangu japo wote tunaitwa James.Nimefuata mzigo tayari kanipa.Sasa hapa ndipo unakuta unadai mzigo kumbe ilishachukuliwa na mtu mwingine
Badala wampigie mtu simu afuate mwenyewe,wanamperekea kisa ni mteja,yani walivyoona tu first name
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwapigia voda wanasemaje!Dah wadau kama alivosema msau mmoja hapo juu hawa voda mastercard wanaiba pesa. Jamaa aliposema ndio nikaemda kuthibitisha.
Juzi ni unload tsh 5000 kutoka vodacom mastercard kuja m-pesa. Nilipo maliza sikupata msg yeyote kuwa imetoka ama MPesa imepokea, nikaona isiwe tabu nikaachana nayo kwakujua mitandao wenda inazingua.
Saizi niliposoma kwa jamaa hapa naemda kuangalia salio, ile 5000 ilitoka na MPesa haikuingia na salio ni pungufu. Naangalia mini-statement inasoma nilitoa elfu 5 kwenda Mpesa. Transaction zangu za Mpesa hazina hio kumbukumbu na wala Pesa haikuingia.
Tushavamiwa na na Janga huku Mpesa mastercard. Naona tutafute chimbo jipya
Dumelang