Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Mkuu nilishakama kitu cha note 8 saiv burudaaaani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nashukuru nilipata mzigo wangu na kwa bahati nzuri sikukatwa kodi isipokuwa nilitozwa gharama za posta kiasi cha tsh 2350,asanteni sana kwa ushauri ambao nadhani next time nitafanya mazungumzo na seller kabla ya kununua mzigo ili nijue invoice itakavyokuwa baada ya kununua mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…